Habari wanajamii
Naomba msaada wenu
Mimi ni mfanyakazi wa sehemu fulani, bado sijazijua vizuri sheria za kazi, we have 1 hour lunch time (kwenye contract)
Niliwahi kuambiwa kwa mdomo na my boss kuwa hilo lisaa 1 naweza toka nje,
1. je nikitoka na kufunga ofisi (hakuna wa kumuacha) muda wa lunch ni kosa? kama c kosa naweza jua kifungu cha sheria na mwaka?
2. Nifanyeje nikitaka kufanya mambo yangu huo muda wa lunch?
3. Chakula nakula ofcn, je ningekuwa nakula nje ingekuwaje?
Nimekwama wapendwa msaada tafadhali!
Naomba msaada wenu
Mimi ni mfanyakazi wa sehemu fulani, bado sijazijua vizuri sheria za kazi, we have 1 hour lunch time (kwenye contract)
Niliwahi kuambiwa kwa mdomo na my boss kuwa hilo lisaa 1 naweza toka nje,
1. je nikitoka na kufunga ofisi (hakuna wa kumuacha) muda wa lunch ni kosa? kama c kosa naweza jua kifungu cha sheria na mwaka?
2. Nifanyeje nikitaka kufanya mambo yangu huo muda wa lunch?
3. Chakula nakula ofcn, je ningekuwa nakula nje ingekuwaje?
Nimekwama wapendwa msaada tafadhali!