tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
kuna kipengele katika muswada wa uundwaji wa tume ya kukusanya maoni ya katiba mpya kwamba ni kosa la jinai kuhoji au kupinga au kukebehi maoni/maamuzi ya tume. Imekaaje hii?
kuna kipengele katika muswada wa uundwaji wa tume ya kukusanya maoni ya katiba mpya kwamba ni kosa la jinai kuhoji au kupinga au kukebehi maoni/maamuzi ya tume. Imekaaje hii?