Moorio
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 396
- 552
Ni kosa kubwa kila saa kuandika kuhusu wanawake tu!!!!!!!!!!
kabisa kwa maana chanzo cha yote wanayoandika juu ya mwanamke ni wao wanaume...........ni kosa kubwa sana kumsema mwanamke vibaya na wwakati wewe ulizaliwa na kulelewa na mwanamke:thinking: