Ni kosa gani alilolifanya Aboud Jumbe kustahili 'kifungo cha maisha'?

Ebu fafanua hapo kwenye Nyekundu, mwaka gani hiyo Historia, Maana tokoea hii mipaka ya Africa iwekwe haijawai kubadilishwa au una-undugu na Museveni wa Uganda anaye dai kisiwa cha Kenya kuwa chake.

Arafat,

Soma historia vizuri utakuta mipaka ya nchi inayoitwa zanzibar ni kilometa 10 kuingia mainland na inaanzia Lamu, Mombasa, Tanga shuka mpaka msumbiji. Alilolisema Nonda ni sahihi kabisa mie nilikuwa nalibisha ila nilisoma article moja ya professa mwingereza sikumbuki jina mipaka ya zanzibar ni legitimate na legal kama zanzibar ikiwa kama nchi inayojitegemea wakianzisha dai UN kwa ajili ya mipaka tujiandae kulia na kusaga meno maana itakuwa ngoma nzito.
 
Waandishi wetu uchwara si wangeenda kumhoji huyu mzee au familia yake kupata ukweli wa mambo.
 
Sheikh Mwinyi Aboud Jumbe (born 1920) was a politician in Zanzibar. He held several positions, including the second president of Zanzibar, chairman of the Revolutionary Council, Vice-President of the Union, and the vice-chairman of the Chama Cha Mapinduzi (CCM) party.[1]

Jumbe served as president of Zanzibar from 11 April 1972 until 30 January 1984. He succeeded Abeid Karume as president, following Karume's assassination on April 7, 1972. He was initially elected by the Revolutionary Council as a part of the Afro-Shirazi Party (ASP). While he was in office, in 1977, the two ruling parties of Tanzania merged. In particular, the ASP and the Tanganyika African National Union (TANU), merged to create Tanzania's ruling party, the CCM.[2]

In 1979, Jumbe introduced the first post-revolution constitution of Zanzibar. This separated the powers of the Revolutionary Council and the House of Representatives. Furthermore, the new constitution established elections by universal suffrage, instead of being elected by the Revolutionary Council.[2]


A list of Tanzanian leaders since gaining independence on 9 December 1961

Tanganyika/Tanzania
Tanganyika Territory became independent within the Commonwealth of Nations on 9 December 1961 (with Queen Elizabeth II of Britain as Head of State, with a Governor-General to representing her). Tanganyika was proclaimed a Republic on 9 December 1962. The United Republic of Tanganyika and Zanzibar was declared on 26 April 1964, formed from the merger of the Republic of Tanganyika and The People's Republic of Zanzibar. The final transition occurred on 29 October 1964 when it became the Republic of Tanzania.

Governor-General of Tanganyika Territory
9 Dec 1961 - 9 Dec 1962 Richard Gordon Turnbull

President of Republic of Tanganyika
9 Dec 1962 - 26 Apr1964 Julius Kambarage Nyerere TANU

President of the United Republic of Tanganyika and Zanzibar**
26 Apr 1964 - 29 Oct 1964 Julius Kambarage Nyerere TANU***

President of Republic of Tanzania
29 Oct 1964 - 5 Nov 1985 Julius Kambarage Nyerere TANU/CCM

5 Nov 1985 - 23 Nov 1995 Ali Hassan Mwinyi CCM

23 Nov 1995 - 21 Dec 2005 Benjamin William Mkapa CCM

21 Dec 2005 - present Jakaya Mrisho Kikwete CCM

Zanzibar
Zanzibar gained its independence as a Sultanate on 10 December 1963, and was proclaimed the People's Republic of Zanzibar on 12 January 1964 following a coup. On 26 April 1964 it merged with the Republic of Tanganyika to become the United Republic of Tanganyika and Zanzibar. Although Zanzibar and Tanzania are united, Zanzibar continues to have its own president.

Sultan of Zanzibar
1 Jul 1963 - 12 Jan 1964 Jamshid ibn Abd Allah

President of People's Republic of Zanzibar
12 Jan 1964 - 26 Apr 1964 Abeid Amani Rashid Karume ASP

President of Zanzibar
26 Apr 1964 - 7 Apr 1972 Abeid Amani Rashid Karume ASP

11 Apr 1972 - 30 Jan 1984 Mwinyi Aboud Jumbe ASP/CCM

30 Jan 1984 - 24 Oct 1985 Ali Hassan Mwinyi CCM

24 Oct 1985 - 25 Oct 1990 Idris Abdul Wakil CCM

25 Oct 1990 - 8 Nov 2000 Salmin Amour CCM

8 Nov 2000 - Nov 2010 Amani Abeid Karume CCM
 
Wana Jamii naona munakukuruka na maoni yenu na kupita mbali na kuficha ukweli. Kweli alikuwa kizuizini na sababu ilikuwa ni udini wa baba yenu Nyerere Maana nia ya nyerere ilikuwa ni kuuwa uisilamu Zanzibar na jumbe ndio alikuwa kikwazo, suala la jumbe kuwa mzanzibari au mtu wa bara hili ni kwamba Jumbe ni mzaramo safi wa mkoa wa pwani na hata ukienda nyumbani kwake ameandika MTU KWAO
 
Tuwekee Birth Certificate zao hapa, otherwise tutaamini kuwa wewe ndiye uliyelogwa!

Another goat on the loose, where is the owner?

Requesting birth certificate for the folk born in the Tanzania if 1950s is absurd, asking for those born in 1920s is nothing short of outlandish. Less than 2% if any of those in the 1950s were issued with birth certificates.

Hivi ni nani aliyewaloga?
 
Mzee Jumbe hayupo kizuizini, anapata huduma zote kama kiongozi mstaafu wa nchi kwa nafasi aliyokuwa nayo. Ana ulinzi wa serikali, huduma za usafiri na mabo mengine. Kwa sasa huyu mzee umri umekwenda na hawezi kuhudhuria shughuli yenye usumbufu wa aina yeyote anahitaji muda mwingi wa kupunzika na kuangaliwa. Mimi nadhani wakati mwingine kabla ya kuanza kulalamikia jambo ni heri ungeuliza ili wenye taarifa waweze kukujulisha.

Ahsante sana Vumbi.
Jumbe yupo huru na anendelea na shughuli zake. Tatizo ni uzee na macho yanamsumbua sana. Kuondoka kwa jumbe madarakani ni kwasababu alitaka mjadala wa serikali tatu,na alikuwa anaadika kitabu, wasaliti na mmoja wao ni huyu wa 'CUF' wakamdokeza mwalimu, na ndipo akalazimishwa kujiuzulu.
Jumbe anapta heshima zote kama mstaafu na hata mialiko ya kitaifa, lakini yeye ameamua kutojihusisha. Mwakajana nyumba yake ilipokosa umeme wakati wa mgao na jenereta kufa, serikali ya Tanganyika ikaokoa jahazi. Kwa watu waliokaribu naye wanasema amekataa heshima zote za kitaifa pale itakapotokea vinginevyo kwa majaaliwa ya mola.
Kuhusu kuishi Tanganyika, hili halina mjadala, hakuna kiongozi yoyote wa Zanzibar aliyefikia ngazi ya ''Presidential appointee'' au Ubunge ambaye hana nyumbaTanganyika, Sio wa CUF,CCM au jahazi asilia. Hata Wazannzibar wakawaida wenye uwezo wana nyumba Tanganyika. Ndiyo maana huwa tunawauliza, kama hamtaki muungano mbona mnapenda kuishi Tanganyika?
 
Baada ya maelezoya kutosha kuwa Mzee Aboud Jumbe Mwinyi yupo huru anakula pensheni na umri wake ni miaka 91 (born 1920).

Swali la nyongeza wana JF nimeona katika maandiko ya historia ya Afrika kuwa:
  • 26 April 1964 mpaka 29 Oct 1964 Mwl. Nyerere alikuwa Raisi wa Jamhuri ya Tanganyika na Zanzibar **** source:
Leaders of Tanzania Since Independence

  • 29 Oct 1964 - 5 nov 1985 Mwl. Nyerere Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania****.
Sasa basi kwa kuwa hapa JF huwa hakiharibiki kitu kwa kupewa data za uhakika tunaomba wale wajuvi na magwiji wa historia au waliokuwepo miaka hiyo ya jina Tanzania kutungwa ( nasikia kuna mtu alipata kitita cha fedha kwa kuibuka na jina Tanzania ktk shindano maalumu la kutafuta jina muafaka) mtuweke sawa kuhusu jina hili Tanzania ilizaliwa 24 aprili 1964 au 29 Oct 1964??
 
Kwa hiyo Rais wa kwanza karume alikubali kuua uislam? Au mzee mwinyi, Abdul Wakil, na maraisi wengine waliofuata waliingia na agenda ya kuua uislam huko Zanzibar?

Acheni kutoa hoja zisizokuwa na mashiko wakati watu wanajadili mambo ya msingi, Kama una hoja nzito kuhusu hilo la udini lete jamvini
 
Kuna mengi yaliendelea achilia nafasi ya umakamu Rais, kuna pesa za karafuu zilizomezwa na muungano na huyu mzee hilo lilimuuma na kuhoji kwanini imekuwa hivyo. Pia kuna swala za Zanzibar kuwa nchi alilisimamia kwani alitaka kuwapo na serikali tatu na hilo likawa mwiba mkali kwa Nyerere akaona jamaa ni msaliti akishirikiana na kina Seif Sharif Hamad. Pia alihoji uhusiano wa Vatican na Tanzania na hilo halikumpendeza Nyerere akaona atamuharibia uongozi pengine (Soma katika kitabu chake).

Hapana,

Mara baada ya Mzee Karume kuuwawa, nafasi yake ingechukulkiw na Mzee Thabiti Kombo kama ilikuwa ni swala la seniority, ila Mzee Kombo alikuwa na imani sana na utaifa ya Jamhuri ya Muungani na alijua kuwa nafasi ile ilitakiwa mtu aliyesoma kukaribiana na Nyerere kuliko yeye. Kwa hiyo akashauri nafasi hiyo apewe Jumbe, na kweli Jumbe aliifanya vizuri sana akiwa analenga kwenye utaifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania badala ya Zanzibar. Kama ulisikia ile hotuba ya Jumbe ya mwaka 1975 wakati wa uteuzi wa mgombea wa uraisi wa Tanzania wakati huo utakubaliana nami kuwa alikuwa na utaifa zaidi ya uzanzibari wakati huo. Jumbe aliipenda na aliifanya kazi yake ua umakamu wa Rais kwa ufanisi sana huenda kuliko makamu mweingine yeyote wa Rais katika historia ya Taifa hili. Wakati wa vita Uganda, Jumbe aliidhinisha hela kutoka akiba ya serikali ya mapinduzi ya zanzibar, kwa ajili ya kununulia BM40 ambazo hatukuwa nazo wakati ule na Nyerere hakuwa na hela za kupata silaha hizo mara moja katika muda mfupi ule. Maamuzi yote yaliyokuwa yakifanyika na kuigusa Zanzibar wakati huo, yalikuwa hayatimii bila ridhaa ya Mzee Jumbe na Mzee Kombo. Mzee Jumbe alighafilika kidogo tu kutokana na kuchukia popularity ya Sokoine kufuatia vita ya uhujumu uchumi ya mwaka 1983, na ikawa ndiyo mporomoko wake wa moja kwa moja kisiasa.
 
Hii ni hoja ya 'vina na umakini', mzee wetu huyo kweli umri umeenda sana na hasikiki wala kushirikishwa katika mambo muhimu ya kitaifa. Ngoja tusubiri nguli wa mada yako nasi tuielewe kulikoni.
 
Hivi Jumbe bado yuko kizuizini hadi leo? na sheri ya nani? inasikitisha kama hii ni kweli maana mimi nimeacha kumsikia tangu mda mrefu sana na huwa nadhani mwenzetu hayupo, kumbe bado yupo?
mmmh Tanzania ni zaidi ya tuijuavyo
Kweli katika hili Watanzania tusimame,tusitekeleze kila alichofanya Nyerere, kiukweli Ndugu Jumbe, hatendewi haki kwa kuhifadhiwa hapo Kigamboni.
hapewi heshima ya kama mmoja wa maraisi wa Zanzibar, hashirikishwi kwenye hafla zozote, kwanini hawa wazanzibar hawaoni umuhimu wa mtu wao.
Imetosha sasa, Jumbe atolewe kizuizini.
 
Mkapa aliweza tu pale baada ya Nyerere kufariki.
Alianza baadhi ya mambo ya ubinafisishaji lakn Nyerere alipinga sana, baada ya kifo tu ndipo tuliposhuhudia mageuzi makubwa ya ubinafisishaji wa mabenki na kila kitu.
Mbona Mkapa aliweza? Yeye si alifanyiwa hata kampeni na Nyerere? Unafik, tu, mkuu. Hakuwa amefungwa ndiyo maana Mwinyi hakuona sababu ya kumuachia!

Ukweli ni kuwa wazanzibari wamekuwa wakipewa hifadhi bara kuanzia Sultan Sayyid Sir Jamshid bin Abdullah Al Said, Babu, Aboud Jumbe na wengine pale wanapokosana na wenzao.

Amandla......
 
Hapana,

Mara baada ya Mzee Karume kuuwawa, nafasi yake ingechukulkiw na Mzee Thabiti Kombo kama ilikuwa ni swala la seniority, ila Mzee Kombo alikuwa na imani sana na utaifa ya Jamhuri ya Muungani na alijua kuwa nafasi ile ilitakiwa mtu aliyesoma kukaribiana na Nyerere kuliko yeye. Kwa hiyo akashauri nafasi hiyo apewe Jumbe, na kweli Jumbe aliifanya vizuri sana akiwa analenga kwenye utaifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania badala ya Zanzibar. Kama ulisikia ile hotuba ya Jumbe ya mwaka 1975 wakati wa uteuzi wa mgombea wa uraisi wa Tanzania wakati huo utakubaliana nami kuwa alikuwa na utaifa zaidi ya uzanzibari wakati huo. Jumbe aliipenda na aliifanya kazi yake ua umakamu wa Rais kwa ufanisi sana huenda kuliko makamu mweingine yeyote wa Rais katika historia ya Taifa hili. Wakati wa vita Uganda, Jumbe aliidhinisha hela kutoka akiba ya serikali ya mapinduzi ya zanzibar, kwa ajili ya kununulia BM40 ambazo hatukuwa nazo wakati ule na Nyerere hakuwa na hela za kupata silaha hizo mara moja katika muda mfupi ule. Maamuzi yote yaliyokuwa yakifanyika na kuigusa Zanzibar wakati huo, yalikuwa hayatimii bila ridhaa ya Mzee Jumbe na Mzee Kombo. Mzee Jumbe alighafilika kidogo tu kutokana na kuchukia popularity ya Sokoine kufuatia vita ya uhujumu uchumi ya mwaka 1983, na ikawa ndiyo mporomoko wake wa moja kwa moja kisiasa.
Shukrani kwa ufafanuzi,
hapo kwenye red hapo, tunaomba maelezo zaidi mkuu
 
kumbe kuna uwezekano huyu Jumbe alikuwa anapata ulinzi wa kawaida kabisa kama viongozi wengine ila tatizo ni ushamba wa wakuelewa kwa watu kipindi kile? inawezekana kabisa kuwa Jumbe hakuwa kizuizini hata siku moja bali ni fikra ndogo tu za watu waliokuwa wakipita maeneo yake na kukuta waliniz?
duh tz kuna mambo
Hebu tuelezee maana yake unaonyesha kulishupalia hili, ulinzi wa kiongozi maana yake nini kama utawakuta walinzi halafu upite tu bila kuhojiwa.
 
Ebu fafanua hapo kwenye Nyekundu, mwaka gani hiyo Historia, Maana tokoea hii mipaka ya Africa iwekwe haijawai kubadilishwa au una-undugu na Museveni wa Uganda anaye dai kisiwa cha Kenya kuwa chake.

Heshima kwako Arafat,

Mkuu soma historia vizuri mbona iko wazi sana au wewe Serengeti Boy.
 
Kwanza naomba tuheshimiane,

Mie ni mtanganyika pure born and bred huwezi kunitoa Tanganyika maana nimezaliwa tanganyika wazazi wangu watangayika huna vya kunibadilisha. Kama nilivyosema katika post zangu wazanzibar nimekaa nao na kwakweli nawasupport wanalolifanya kwani ukoloni mamboleo uliofanywa na Tanganyika mnajifanya hamuufahamu ni bora mkaufahamu vizuri sana. Labda nikuulize wewe je wazanzibari sio watanzania?

Wazanzibar SIO Watanzania. Wao ni Wazanzibar tu mwanzo mwisho!
 
Mzee Jumbe hayupo kizuizini, anapata huduma zote kama kiongozi mstaafu wa nchi kwa nafasi aliyokuwa nayo. Ana ulinzi wa serikali, huduma za usafiri na mabo mengine. Kwa sasa huyu mzee umri umekwenda na hawezi kuhudhuria shughuli yenye usumbufu wa aina yeyote anahitaji muda mwingi wa kupunzika na kuangaliwa. Mimi nadhani wakati mwingine kabla ya kuanza kulalamikia jambo ni heri ungeuliza ili wenye taarifa waweze kukujulisha.

Jumbe ni mzee kuliko Mandela ? Hebu tuache siasa,tuongee ukweli,mara ya mwisho kabla hajazeeka kwa jinsi ulivyoeleza alionekana lini kwenye Public ? Au nawe ni kati ya waliomzuia huko ?
 
Jumbe ni mzee kuliko Mandela ? Hebu tuache siasa,tuongee ukweli,mara ya mwisho kabla hajazeeka kwa jinsi ulivyoeleza alionekana lini kwenye Public ? Au nawe ni kati ya waliomzuia huko ?

Amekuja kuonekana in Public siku aliyofariki mwanae ndio mara mwisho zifa zote za kitaifa haalikwi muulize mbona kuna makada wa CCM kama akina Kingunge juu ya utu uzima wao wanaalikwa.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom