Ni kodi gani zinapaswa kulipwa kwa kuagiza gari nje?

Shakazulu

JF-Expert Member
Feb 23, 2007
957
280
Wana JF,

Mimi ni mwanchama wa jamvi hili mwenye makazi nje ya Tanzania ila hivi sasa ninapanga kurudi nyumbani.

Ningependa kuelimishwa kuhusu kodi ambazo nitatakiwa kulipa endapo nitaingiza gari toka nje. Details za gari lenyewe ni hizi hapa:


Model: NISSAN X-TRAIL 2.0i SE+ 5dr Station Wagon (4X4)
Year: 2002
Engine size: 1980 cc
Price: £3,250
Country: UK

Natumaini hizi details zitatosha kupata rough estimate ya kodi nitakazotakiwa kulipa.

Natanguliza shukurani zangu
 
Duh watu naona wamekuchunia...Swali lako la msingi mno maana ndugu zetu wa TRA wanatumia Ujinga wa watu kuwaibia...ushauri wangu ni vema ukabishane nao na uwaambie unataka Ulipe TAX Halisi...hawa Jamaa wananuka Rushwa!!!
 
Sio rahisi sana kukuambia lakini nitajitahidi kwa kuwa mambo mengi huwa yamejificha katika mfumo wetu wa kodi hasa suala la thamani halisi ya gari. Kulingana na mwaka lililotengenezwa gari hili (2002) thamani kwa ajili kutoza kodi inaweza kufikia CIF $12,000 (Samahani natumia $). Import Duty itakuwa 25% = $3,000, VAT 20% = $3,000 {(CIF+Importduty)*20%}. Halafu kuna gharama za bandari na Clearing agent zinazoweza kufikia $500. Gharama za kuandikisha zinafikia $400.
Lakini kama uko nje ya nchi na umeshalimiliki gari hilo kwa zaidi ya siku 366 (sio chini ya hapo na pia uwe umeshakaa nje zaidi ya siku hizo, zitaangaliwa kwenye pasport na kadi ya gari), basi hutatozwa import duty wala VAT. Hizo nyingine utatozwa.
kama garti hilo lingekuwa na zaidi ya miaka 10 basi kungekuwa na kodi ya ziada ya gharama za uchakavu wa 20%.
 
Wana JF,

Mimi ni mwanchama wa jamvi hili mwenye makazi nje ya Tanzania ila hivi sasa ninapanga kurudi nyumbani.

Ningependa kuelimishwa kuhusu kodi ambazo nitatakiwa kulipa endapo nitaingiza gari toka nje. Details za gari lenyewe ni hizi hapa:


Model: NISSAN X-TRAIL 2.0i SE+ 5dr Station Wagon (4X4)
Year: 2002
Engine size: 1980 cc
Price: £3,250
Country: UK

Natumaini hizi details zitatosha kupata rough estimate ya kodi nitakazotakiwa kulipa.

Natanguliza shukurani zangu

Kwa kutumia details ulizotoa nimeziingiza kwenye system ya TRA (Asycuda++)


Zimerudisha majibu haya

IMPORT TAX 25% of CIF - 2,215,385.2
VAT - 2,215,382.2

TOTAL Tshs 4,430,764.4

Note:Hiyo price yako nimeichukulia kama ni FOB hivyo nimeestimate kuwa utatumia £500 kwenye usafiri and insurance £50.
 
Samahani wajameni.

Hivi niikiingiza Tractor la mwaka 1967 nitatozwa hiyo 20% ya uchakavu?


Tractor ni farm mashinery na ina msamaha wa kodi hata kama lingekuwa lile la kwanza kuvumbuliwa. Ukileta utalitumia kusaga au kusukuma maji for real hapa nampongeza aliyefikiria kufanya hivyo ila pia wakulima wanaoweza kutumia nafasi hii ni kiduuchu. Hayo ni mawazo yangu lakini Bw. Madilu!
 
Nashukuru sana wote mliochangia. Mmenipa mwanga wa kodi ambazo nategemea kulipa.

Lets keep up the good spirit of helping one another. asanteni sana
 
Brothers,

This is the correct and most Latest info:

1. Import duty 25% of the CIF
2. VAT 20% of the CIF
3. Excie duty of the CIF of every impored Car:

(a) Engine Capacity less than 1000CC NIL,

(b) Engine Capacity between 1000-2000CC - 10%,

(c) Engine Capacity Exceeding 2000CC 10%

(Hii ni kwenye sheria mpya ya fedha ya mwaka 2008)

4. Annual Motovehicle Licence fees Exceeding 1500CC not exceeding 2500CC -100,000/=, Exceeding 2500CC not exceeding 5000CC - 150,000/=.

5. Registration fees: 120,000/=

6. Number Plates: 36,000/=

7. Usisahau kwamba pia, kama gari lina zaidi ya miaka 10, kuna Excise duty of 10% of CIF S

So kwa ujumla utatakiwa ulipe kodi ya asilimia 55% (compaunded which mya become 60%) of CIF kama gari halijazidi miaka 10.

Au Asilimia 65% (compaunded which my become 70%) of the CIF kama gari limezidi miaka 10

Habari ndio hio, hizi rates mpya (Number 3 na 4) zimepitishwa na bunge na zimeanza kutumia kuanzia tarehe 1 July 2008.
 
Last edited:
Mzee Madela hilo Tractor linatembea ama mzee unaleta chuma chakavu?
Mbona hilo jipya kabisa.
Hapa nilipo yupo mzee mmoja ana Tractor ya mwaka 1952 nimekwisha iendesha mara kadhaa iko ngangari kabisa.
Kule Kilosa na Kilombero kwiro na Ifakara italeta tija.

Hebu ona hiyo MF ya mwaka 1965 kisha linganisha na Matrekta unayo yajua wewe kutoka Arusha na kule Moshi au Mwanza.
http://www.tractorhouse.com/listings/detail.aspx?OHID=5394343&GUID=99B2DC658D294A1DBC52CAC9B07CCAB5

http://www.tractorhouse.com/listing...ERGUSON&GUID=99B2DC658D294A1DBC52CAC9B07CCAB5

http://www.tractorhouse.com/listing...id=1100&GUID=99B2DC658D294A1DBC52CAC9B07CCAB5
 
Great,

Nakupongeza kutaka kuleta tractors, nchi ya wakulima ile, Mkapa alikuwa anazungumzia utandawazi wale wakulima wa jembe la mkono, kule kilosa, kwilo, Kandaga, muyoboze Kaseke na Mchinga walikuwa wanamwelewa kweli? I m convinced na idea yako, hebu ni pm details nami naweza peleka tractors kadhaa kijijini, kule hutumika kama vyombo vy usafiri na ambulance wakati mwingine

Ushi


Mbona hilo jipya kabisa.
Hapa nilipo yupo mzee mmoja ana Tractor ya mwaka 1952 nimekwisha iendesha mara kadhaa iko ngangari kabisa.
Kule Kilosa na Kilombero kwiro na Ifakara italeta tija.

Hebu ona hiyo MF ya mwaka 1965 kisha linganisha na Matrekta unayo yajua wewe kutoka Arusha na kule Moshi au Mwanza.
http://www.tractorhouse.com/listings/detail.aspx?OHID=5394343&GUID=99B2DC658D294A1DBC52CAC9B07CCAB5

http://www.tractorhouse.com/listing...ERGUSON&GUID=99B2DC658D294A1DBC52CAC9B07CCAB5

http://www.tractorhouse.com/listing...id=1100&GUID=99B2DC658D294A1DBC52CAC9B07CCAB5
 
TRA tax the wrong products at high rates. Yaani 60% hadi 70% ya original price??
Tungekuwa na bidii ya kupata tax kwenye utajiri ulio nchini ingesaidia duuh!!
Ama kweli waafrika ndivyo tulivyo!

Nilifikiria kuna limit ya miaka 10?Kumbe wanaongezea 20% ya uchakavu. Habari nzuri maana kuna 110, Defenders zinakita vizuri kabisa.
 
thanks mwana JF,
that was very useful information for all the JF and i urge also others to share some informations we have for evryone.

thanks!
 
Brothers,

This is the correct and most Latest info:

1. Import duty 25% of the CIF
2. VAT 20% of the CIF
3. Excie duty of the CIF of every impored Car:

(a) Engine Capacity less than 1000CC NIL,

(b) Engine Capacity between 1000-2000CC - 10%,

(c) Engine Capacity Exceeding 2000CC 10%

(Hii ni kwenye sheria mpya ya fedha ya mwaka 2008)

4. Annual Motovehicle Licence fees Exceeding 1500CC not exceeding 2500CC -100,000/=, Exceeding 2500CC not exceeding 5000CC - 150,000/=.

5. Registration fees: 120,000/=

6. Number Plates: 36,000/=

7. Usisahau kwamba pia, kama gari lina zaidi ya miaka 10, kuna Excise duty of 10% of CIF S

So kwa ujumla utatakiwa ulipe kodi ya asilimia 55% (compaunded which mya become 60%) of CIF kama gari halijazidi miaka 10.

Au Asilimia 65% (compaunded which my become 70%) of the CIF kama gari limezidi miaka 10

Habari ndio hio, hizi rates mpya (Number 3 na 4) zimepitishwa na bunge na zimeanza kutumia kuanzia tarehe 1 July 2008.

VAT ni 18%
 
Brothers,

This is the correct and most Latest info:
Naomba kuelewa hivi mpaka sasa hii formular inatumika katika kujua gharama halisi ya kuagiza gari?
1. Import duty 25% of the CIF
2. VAT 18% of the CIF
3. Excie duty of the CIF of every impored Car:

(a) Engine Capacity less than 1000CC NIL,

(b) Engine Capacity between 1000-2000CC - 10%,

(c) Engine Capacity Exceeding 2000CC 10%

(Hii ni kwenye sheria mpya ya fedha ya mwaka 2008)

4. Annual Motovehicle Licence fees Exceeding 1500CC not exceeding 2500CC -100,000/=, Exceeding 2500CC not exceeding 5000CC - 150,000/=.

5. Registration fees: 120,000/=

6. Number Plates: 36,000/=

7. Usisahau kwamba pia, kama gari lina zaidi ya miaka 10, kuna Excise duty of 10% of CIF S

So kwa ujumla utatakiwa ulipe kodi ya asilimia 55% (compaunded which mya become 60%) of CIF kama gari halijazidi miaka 10.

Au Asilimia 65% (compaunded which my become 70%) of the CIF kama gari limezidi miaka 10

Habari ndio hio, hizi rates mpya (Number 3 na 4) zimepitishwa na bunge na zimeanza kutumia kuanzia tarehe 1 July 2008.

Naomba kujua mpaka sasa hii formula inatumika ?
 
Back
Top Bottom