ni kipi chuo bora kabisa cha teknologia ya computer tanzania?

chuo cha kwanza kabisa katika masomo ya ICT duniuani kote ni serch engine na mpangilio ni kama ifuatavyo
1.Search engine kama Google nk
2.Mitandao ya kijamii kuhusu mambo ya ICT kama JF jukwaa la ICT
3.Vyuo vinavyotoa mafunzo kama hivyo ST Joseph,Zoom polythenic nk
 
Nenda Havard Marekani huko ndiko kuna elimu ya ukweli lakini inategemeana na ufaulu wako, au umekusudia vyuo vya bongo.
 
Tanzania kiukweli hakuna chuo bora kwenye field ya teknohama kama ucc, Tatizo la ucc haitoi degree ila wanafundisha vizuri na kinatambulika, kingine wanatoa certification nyingi zenye umuhimu katika field ya teknohama kama cisco, ccna na cisa etc. Nenda watakupa maelezo zaidi.
 
inategemea unataka kusoma short courses au course ndefu.....kwa course ndefu kama degree au diploma hakuna kama st joseph college of engeneering and technology.....
 
inategemea unataka kusoma short courses au course ndefu.....kwa course ndefu kama degree au diploma hakuna kama st joseph college of engeneering and technology.....

kama chuo kizuri kingeonekana tu, ila st joseph katika field ya teknohama bora niende coict kuliko pale, kwanza ntapata muda mwingi wa kusoma certification kuliko kuwekana chuo masaa 10, by da way ajira nyingi sasa zinataka watu wenye hivyo vyeti.
 
inategemea unataka kusoma short courses au course ndefu.....kwa course ndefu kama degree au diploma hakuna kama st joseph college of engeneering and technology.....

nilikuwa nataka nipate angalau degree moja.
 
Niliwahi kusikia Arusha kuna chuo kinaitwa Mandela university of technology. kama kipo mbona hakuna anayekifagilia?
 
St joseph ni wazuri lakini mwanafunzi anakua kama yuko shule ya msingi yaani hakuna uhuru chuoni...madaftari yana sahiswa ,watu wanaitwa majina ya mahudhurio...mwanafunzi hupati mda wa kujisomea coz vipindi vinaanza saa 2 hadi saa 11...kama wewe ni sharobaro st joseph huwezi maliza miaka 4.
 
St joseph ni wazuri lakini mwanafunzi anakua kama yuko shule ya msingi yaani hakuna uhuru chuoni...madaftari yana sahiswa ,watu wanaitwa majina ya mahudhurio...mwanafunzi hupati mda wa kujisomea coz vipindi vinaanza saa 2 hadi saa 11...kama wewe ni sharobaro st joseph huwezi maliza miaka 4.

duh,mkuu hapo kweli hapatanifaa kwasababu nina kibarua sehemu nafanya.
 
Tanzania kiukweli hakuna chuo bora kwenye field ya teknohama kama ucc, Tatizo la ucc haitoi degree ila wanafundisha vizuri na kinatambulika, kingine wanatoa certification nyingi zenye umuhimu katika field ya teknohama kama cisco, ccna na cisa etc. Nenda watakupa maelezo zaidi.
sawa konkara, kweli tupu!
 
Back
Top Bottom