HATA KAMA TATIZO LINGEKUWA KWELI MFUMO, LAKINI KWA AINA YA MGOMBEA AMBAYE MLIMUWEKA ASINGEWEZA KULETA MABADILIKO YOYOTE ZAIDI YA MANUFAA YAKE BINAFSI TU. HATUWAELEWI MNAPOSEMA TATIZO NI MFUMO NA WAKATI HUO HUO MNACHUKUA MGOMBEA ALIYEKUZWA NA MFUMO MNAOSEMA HAUFAI KWA MUDA WA ZAIDI YA MIAKA 30!!! HAPO NDIPO WENYE AKILI TULISHTUKA MAPEMA SANA NA HATUKUPOTEZA KURA ZETU KUPIGIA UDANGANYIFU WA UKAWA!!WAKATI TULIPOSEMA TATIZO NI MFUMO, NADHANI HATUKUELEWEKA VIZURI. ILA SEPT 1 TUTAELEWANA TU.
Nani alionga na kuuza nyumba za serikali?NI AIBU KWA CHAMA KAMA CHADEMA WALIOSIFIKA KWA KUPIGA VITA UFISADI MWEMBEYANGA LIST OF SHAME, RICHMOND, LEO HAO WAMEKUWA NDO BABA ZAO NA WASHURI WAO WAKUU KWENYE SIASA. SUMAYE HAKWEPI UUZWAJI HOLELA WA MALI ZA UMA KWA MGONGO WA UBINAFSISHAJI, EDWARD HIVO HIVO, MTATWAMBIA NINI NA UKUTA (UMOJA WA KUIIBIA TANZANIA).
Ndugu, CRDB zilipitia tu kukamiliahs amiamala ya watu. Lakini kwa mujibu wa makala moja ya gazeti la RAI mwaka 2010, mojawapo ya kampuni zilizonufaika na hii package ni Simon Group (wamiliki wa UDA), ambayo inanunua pamba na inamiliki vinu vya kuchambulia pamba kutoka kwa wakulima wa kanda ya ziwa. Lengo na pesa hii halikuwa baya, ilikuwa ni kufidia hasara iliyotokana na mdororo wa uchumi. Lakini kwa bahati mbaya waliofidiwa sio waliopata adha hiyo ya mdororo wa uchumi.Ndugu zangu kama mkirejea kwenye ripoti ya CAG (2009/2010) imeonyesha blanda katika matumizi ya shilingi bilioni 48 ambazo hazijakaguliwa.
Taarifa ni kwamba CRDB is one of the beneficiaries leo wanatuambia wamepata faida.... hapana wamekuwa subsidized na pesa zetu za serikali.
Ndulu anaficha ukweli kuwa ni nani alinufaika.. Number ONE is CRDB kwani Kimei ni mwananchama wa CCM alitumika katika kuchangisha pesa za campaign ya CCM mwaka jana.. so ni mwanachama wao hai kabisa na anavizia u-gavana wa benki baada ya Ndulu.
Nakubali, Wanasajiliwa, wanasoma chuo cha mafisadi (CCM) lakini waliohitimu kwenye ufisadi na kupata chaeti wanaajiriwa kwa kazi hiyo chama dumaza elimu na maendeleo (CHADEMA). Kazi yao kuwachelewesha vijana wasisome, wakae wanaitana makamanda vyuoni, wanavuta ruzuku ya serikali wanatia ndani, wanawakusanya watu wanawapeleka Umoja wa kuiibia Tanzania (UKUTA).
Hii kitu lazima ipigwe chini aisee imezidi, afadhali wanaotrain na kuwaacha kuliko wanaowatumia wahitimu
Hakuna waziri anayeitwa Andrew Bagagaile mkuu, au huyo ni waziri mpya?Naibu Waziri wa Afya
Mheshimiwa Andrew Bagagaile Kigwangallah alichukua pesa hii kwa guarantor ya WAMA ya Mama Salma JK
Alipewa Bilion 1 aokoe zao la Pamba Mwanza
Hajarudisha pesa hizi na Pamba haikununuliwa
Kama tungekuwa na serikali yeny tija asingeteuliwa serikalini
Ni kashfa kuwa na Waziri ambaye alikwapua hela za nchi
Ndugu zangu kama mkirejea kwenye ripoti ya CAG (2009/2010) imeonyesha blanda katika matumizi ya shilingi bilioni 48 ambazo hazijakaguliwa.
Taarifa ni kwamba CRDB is one of the beneficiaries leo wanatuambia wamepata faida.... hapana wamekuwa subsidized na pesa zetu za serikali.
Ndulu anaficha ukweli kuwa ni nani alinufaika.. Number ONE is CRDB kwani Kimei ni mwananchama wa CCM alitumika katika kuchangisha pesa za campaign ya CCM mwaka jana.. so ni mwanachama wao hai kabisa na anavizia u-gavana wa benki baada ya Ndulu.