Ndugu zangu kama mkirejea kwenye ripoti ya CAG (2009/2010) imeonyesha blanda katika matumizi ya shilingi bilioni 48 ambazo hazijakaguliwa.
Taarifa ni kwamba CRDB is one of the beneficiaries leo wanatuambia wamepata faida.... hapana wamekuwa subsidized na pesa zetu za serikali.
Ndulu anaficha ukweli kuwa ni nani alinufaika.. Number ONE is CRDB kwani Kimei ni mwananchama wa CCM alitumika katika kuchangisha pesa za campaign ya CCM mwaka jana.. so ni mwanachama wao hai kabisa na anavizia u-gavana wa benki baada ya Ndulu.
Taarifa ni kwamba CRDB is one of the beneficiaries leo wanatuambia wamepata faida.... hapana wamekuwa subsidized na pesa zetu za serikali.
Ndulu anaficha ukweli kuwa ni nani alinufaika.. Number ONE is CRDB kwani Kimei ni mwananchama wa CCM alitumika katika kuchangisha pesa za campaign ya CCM mwaka jana.. so ni mwanachama wao hai kabisa na anavizia u-gavana wa benki baada ya Ndulu.