ilboru1995
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,329
- 268
Ilikuwa hivi hivi...alipotoka JKN wakasema bora angerudi, alipokamata Ben Fisadi aka Ubinafsishaji na Uwekezwaji Wakasema bora ya Maalim maana wananchi walikuwa wanamihela mfukoni, Alipoingia FastJet sasa mnasema bora Baba wa Ufisadi Arudi...CCM hakuna Msafi Amkeni kazeni buti acheni ngeseu!!!! CCM lazima tuipige chini 2015...