Ni katika umri gani?

Hmaster

JF-Expert Member
Dec 27, 2010
346
86
Habari zenu wakuu! Hivi ni katika umri gani mzazi anatakiwa ampeleke mtoto wa kiume kwa ajili ya tohara?
 
Hmaster....hakuna muda maalum kwa ajili ya tohara kwa mtoto wa kiume. Mara nyingi inashauriwa wakati mtoto bado yuko kwenye umri mdogo (chini ya miezi 6) kwani mtoto anakuwa bado hajaanza movement za kitundu na hivyo kujiumiza/kujitonesha..hii inasaidia kidonda kupona haraka na risk ya infection inapungua.

Ukichelewa hapo basi watu wengi husubiri mpaka mtoto akiwa na uelewa wa kuumia. Mara nyingi watoto hujitonesha usiku wakati wa kulala anapogeuka geuka. Sasa akiwa na ufahamu inasaidia kupunguza vitendo vya kujitonesha, as well inapunguza risk ya infection. Hapo ni umri wa miaka mi3 na nus au mi4.
 
Hmaster....hakuna muda maalum kwa ajili ya tohara kwa mtoto wa kiume. Mara nyingi inashauriwa wakati mtoto bado yuko kwenye umri mdogo (chini ya miezi 6) kwani mtoto anakuwa bado hajaanza movement za kitundu na hivyo kujiumiza/kujitonesha..hii inasaidia kidonda kupona haraka na risk ya infection inapungua.

Ukichelewa hapo basi watu wengi husubiri mpaka mtoto akiwa na uelewa wa kuumia. Mara nyingi watoto hujitonesha usiku wakati wa kulala anapogeuka geuka. Sasa akiwa na ufahamu inasaidia kupunguza vitendo vya kujitonesha, as well inapunguza risk ya infection. Hapo ni umri wa miaka mi3 na nus au mi4.

mbona huwa nasikia....ukiwahi sana akiwa mdogo anakuja kuwa na kipenseli?......
 
Katika asili yetu wanapelekwa after 40 days but definitely before 1 year.
After 40 days sababu kabla ya hapo immunity yake ipo chini na risk ya thetanos ipo juu. before 12 month sababu healing process inakua faster na mtoto anaruhusiwa kukaa uchi mbele za watu as anapona.
Ila kama dhehebu yako inasema tohara ni kuingia katika utu uzima itabidi usubiri abaleh (vya kufundwa etc)
 
Back
Top Bottom