John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
Hahahaha. . . mbona kama nimekuibia mume aisee?
nikikupa ukweli unakimbilia kwenye matusi ya nguoni
Hahahaha. . . mbona kama nimekuibia mume aisee?
nikikupa ukweli unakimbilia kwenye matusi ya nguoni
Madongo yanayofanana na ya binti aliyeibiwa mume ndio ukweli?Wanshangaza!
Ngoja nikuache maana naona una matatizo kweli. . .pole kwa yote.kwa hiyo unataka nikupigie makofi kwa majibu yako ya kunya kila kukicha? hatuendi hivyo bibie
Ngoja nikuache maana naona una matatizo kweli. . .pole kwa yote.
wewe Lizzy unapenda sana kujibu watu kunya.sasa inawezekana kuwa
-wewe ni mshichana mnene sana <90kg
-una sura mbaya sana
-shapeless hata njiani husimamishwi
samahani kwa kupasua jipu
Labda watuambie makabila yao....hii mada inaweza pata majibu humuhumu!:eyebrows::eyebrows::eyebrows:Lizzy & Black Bat what is not happening?! Mmmhhh
ukiwauliza customer care wa kampuni za mitandao ya simu watakwambia makabila yoote ya kanda ya ziwa...imagine mtu anakupigia sim ana kuuliza mbona nikipata meseji wale watu hawashikani mikono?
Lizzy & Black Bat what is not happening?! Mmmhhh