Wivu tu. . .
Naona unaendelea na ile kazi yetu...ushamba ni nini hasaa?????
Mbona unatoa povu?
Nimekula sabuni.
makabila yote ya mkoa wa mbeya
Naona unaendelea na ile kazi yetu...
Mbuni au mbunju?
Kweli kabisa mkuu kama wachagga vile!Ujanja bila pesa sawa na makele tu...dawa ni kuwa na pesa tu kabila lako litasifiwa
Dove!!!!!
Ushamba ni ile hali ya mtu kukosa maujanja ya mjini. lolkamusi inaendelea...
ushamba ni nini hasaa?????
Inanukia?
Ushamba ni ile hali ya mtu kukosa maujanja ya mjini. lol
Inanuka.
mi mwenyewe mshamba mshamba kwa mbali, ngoja wajanja wajemaujanja ya mjini????? sijui ndo yapi hayo...mfano...
Kaoge..