Habari zenu wakuu.. Naomba Kufahamu ni Jinsi gani nina weza kujiunga na JWTZ, mimi ni graduate nataka kulitumikia taifa kupitia JWTZ, ila sikupata nafasi ya kupitia JKT .. Je itawezekana kujiunga na JWTZ bila kupitia JKT? Au ni lazima kwanza nianzie JKT? Na pia Hua inachukua muda gani kwa graduate kupelekwa Monduli pale Tanzania Military Academy? Ningependa kufahamu...