Manumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 1,746
- 1,282
Manumbu that is another side of the coin.... Nakubali kua maneno yako yana ukweli
Lakini bado naona dada alifanya hivyo tokana na kujua results zitakuaje...
Asha D u r right. lkn labda cha kujiuliza ni tunatafuta nini kwenye relations. manake kama unahisi huyu jamaa akiijua hii siri yangu nimeachika, bac ni bora utafute namna nzuri ya kuiwakilisha siri yako, kuliko kudhani kuwa siri hiyo haitofichuka asilani. halafu unajua sometimes kusema ukweli kunakuonesha ni jnsi gani ile hali uliyojikuta umo inakuudhi au kukufurahisha. kwa mfano huyo dada angesema (kwa namna yoyote ile ambayo angeona ingefaa) kabla hajagundulika, jamaa angeweza hata kumhurumia na kuona kuwa kumbe mpenzi wake alifanya lile kosa, limemcost na analijutia na asingependa tena atokewe na hali kama ile. kwa vile we all make mistakes, leo hii kila mtu angekuwa upande wake dhidi ya Excellent. lkn kwa kukana na baadae kukiri tayari unakuwa umeweka bahari kubwa sana ya mitazamo na maswali, ambayo majibu yake yanaweza yasipatikane kwa urahisi na yakipatikana inaweza kuwa too late.
kumbuka na shetani nae ndo atapitia hapo hapo ili kuwakwaza zaidi. angekuwa mkweli watetezi wangekuwa kibao na hata nduguze Excellent wangemsaidia. walau hapa ingekuwa 50-50 kuachika au kubaki. but as it were kwa kutokusema akajikuta kawa 100% kuachika!