St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,629
- 4,504
Nina mengi sana,lakini kubwa kuliko ni pale mtu niliyemkuta kazini ana kama miaka ishirini ya utumishi alipokataa mimi kuwa bosi wake na kuamua kwenda kwa mkurugenzi kunishitaki kuwa nimeonekana nikifanya mapenzi na mwanamke kwenye uwanja wa mpira saa sita mchana,kisa hicho licha ya kunifedhehesha ila kilinikost post yangu na nikazawadiwa demotion japo ilikuwa ni majungu...