cjilo
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 884
- 444
Maana nae lilimsema vibaya sana yeye pamoja na chama chake katika matoleo yake, nataka kauli yake, walau aonyeshe furaha yake adharani, kwani Mh. Na CCM yake alishawahi kukubali pia kuwa gazeti hili lilichangia kupungua kwa kura za chama chake kwenye uchaguzi wa 2010
Pole, Mama Salma Kikwete
Na Nkwazi Mhango - Imechapwa 07 April 2010
Madudu mengine ya Kikwete haya hapa | Gazeti la MwanaHalisi
Na Mwandishi wetu - Imechapwa 19 May 2010
Umaarufu wa Kikwete 'feki' | Gazeti la MwanaHalisi
Siri za CCM, CUF zavuja
Na Saed Kubenea - Imechapwa 20 October 2010
Kikwete tumbo moto | Gazeti la MwanaHalisi
Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 29 December 2010
Rais Kikwete aumbuka
Na Saed Kubenea - Imechapwa 14 April 2010
Kikwete ndani ya CCJ | Gazeti la MwanaHalisi
Na Saed Kubenea - Imechapwa 18 May 2011
Kikwete maji ya shingo | Gazeti la MwanaHalisi
Na Saed Kubenea - Imechapwa 19 October 2011
Lowassa, Rostam kumzima Kikwete
Na Saed Kubenea - Imechapwa 08 June 2011
Rais Jakaya Kikwete dhaifu? | Gazeti la MwanaHalisi
Na Saed Kubenea - Imechapwa 14 September 2011
Rekodi ya aibu ikulu | Gazeti la MwanaHalisi
Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 23 November 2011
CCM sasa wamevuna walichopanda | Gazeti la MwanaHalisi
Na Saed Kubenea - Imechapwa 04 April 2012
Uhalali serikali ya JK ni wa kura tu?
Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 18 April 2012
Dua la kuku la CCM laishindwa CHADEMA | Gazeti la MwanaHalisi
Na Reginald Miruko - Imechapwa 02 May 2012
Makala hizi na nyingine nyingi zimechangia wananchi kupunguza imani kwa serikali hii ya ccm, nilitegemea basi CCM walau ingeipongeza serikali kwa wazi kabisa kwa kulifungia gazeti linalowanyima usingizi tena kwa muda usiojulikana, inaweza kuwa pia gazeti hili limefungiwa milele
iwa milele
Pole, Mama Salma Kikwete
Na Nkwazi Mhango - Imechapwa 07 April 2010
Madudu mengine ya Kikwete haya hapa | Gazeti la MwanaHalisi
Na Mwandishi wetu - Imechapwa 19 May 2010
Umaarufu wa Kikwete 'feki' | Gazeti la MwanaHalisi
Siri za CCM, CUF zavuja
Na Saed Kubenea - Imechapwa 20 October 2010
Kikwete tumbo moto | Gazeti la MwanaHalisi
Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 29 December 2010
Rais Kikwete aumbuka
Na Saed Kubenea - Imechapwa 14 April 2010
Kikwete ndani ya CCJ | Gazeti la MwanaHalisi
Na Saed Kubenea - Imechapwa 18 May 2011
Kikwete maji ya shingo | Gazeti la MwanaHalisi
Na Saed Kubenea - Imechapwa 19 October 2011
Lowassa, Rostam kumzima Kikwete
Na Saed Kubenea - Imechapwa 08 June 2011
Rais Jakaya Kikwete dhaifu? | Gazeti la MwanaHalisi
Na Saed Kubenea - Imechapwa 14 September 2011
Rekodi ya aibu ikulu | Gazeti la MwanaHalisi
Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 23 November 2011
CCM sasa wamevuna walichopanda | Gazeti la MwanaHalisi
Na Saed Kubenea - Imechapwa 04 April 2012
Uhalali serikali ya JK ni wa kura tu?
Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 18 April 2012
Dua la kuku la CCM laishindwa CHADEMA | Gazeti la MwanaHalisi
Na Reginald Miruko - Imechapwa 02 May 2012
Makala hizi na nyingine nyingi zimechangia wananchi kupunguza imani kwa serikali hii ya ccm, nilitegemea basi CCM walau ingeipongeza serikali kwa wazi kabisa kwa kulifungia gazeti linalowanyima usingizi tena kwa muda usiojulikana, inaweza kuwa pia gazeti hili limefungiwa milele
iwa milele