Ni ipi kauli ya Mh. JK Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM kuhusu MwanaHalisi?

cjilo

JF-Expert Member
Sep 8, 2011
884
444
Maana nae lilimsema vibaya sana yeye pamoja na chama chake katika matoleo yake, nataka kauli yake, walau aonyeshe furaha yake adharani, kwani Mh. Na CCM yake alishawahi kukubali pia kuwa gazeti hili lilichangia kupungua kwa kura za chama chake kwenye uchaguzi wa 2010

Pole, Mama Salma Kikwete

Na Nkwazi Mhango - Imechapwa 07 April 2010

Madudu mengine ya Kikwete haya hapa | Gazeti la MwanaHalisi
Na Mwandishi wetu - Imechapwa 19 May 2010

Umaarufu wa Kikwete 'feki' | Gazeti la MwanaHalisi

Siri za CCM, CUF zavuja
Na Saed Kubenea - Imechapwa 20 October 2010

Kikwete tumbo moto | Gazeti la MwanaHalisi
Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 29 December 2010

Rais Kikwete aumbuka
Na Saed Kubenea - Imechapwa 14 April 2010

Kikwete ndani ya CCJ | Gazeti la MwanaHalisi
Na Saed Kubenea - Imechapwa 18 May 2011

Kikwete maji ya shingo | Gazeti la MwanaHalisi
Na Saed Kubenea - Imechapwa 19 October 2011

Lowassa, Rostam kumzima Kikwete
Na Saed Kubenea - Imechapwa 08 June 2011

Rais Jakaya Kikwete dhaifu? | Gazeti la MwanaHalisi

Na Saed Kubenea - Imechapwa 14 September 2011

Rekodi ya aibu ikulu | Gazeti la MwanaHalisi

Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 23 November 2011

CCM sasa wamevuna walichopanda | Gazeti la MwanaHalisi
Na Saed Kubenea - Imechapwa 04 April 2012

Uhalali serikali ya JK ni wa kura tu?
Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 18 April 2012

Dua la kuku la CCM laishindwa CHADEMA | Gazeti la MwanaHalisi
Na Reginald Miruko - Imechapwa 02 May 2012

Makala hizi na nyingine nyingi zimechangia wananchi kupunguza imani kwa serikali hii ya ccm, nilitegemea basi CCM walau ingeipongeza serikali kwa wazi kabisa kwa kulifungia gazeti linalowanyima usingizi tena kwa muda usiojulikana, inaweza kuwa pia gazeti hili limefungiwa milele
iwa milele
 
Nakumbuka ile tume iliyoundwa kufanya utafiti kwa nini ccm imepoteza mvuto kama sikosei iliongozwa na mukama vile(katibu wa ccm wa sasa) ilisema wazi kuwa imepoteza umaarufu kwa sababu magazeti yanawachafua sana hasa mwanahalisi, pengine ndo inaanza kutekeleza mapendekezo ya tume hiyo kuanza kuyapunguza taratibu magezeti hayo na wameanza na shina bila shaka matawi hayatadumu tena
 
Nakumbuka ile tume iliyoundwa kufanya utafiti kwa nini ccm imepoteza mvuto kama sikosei iliongozwa na mukama vile(katibu wa ccm wa sasa) ilisema wazi kuwa imepoteza umaarufu kwa sababu magazeti yanawachafua sana hasa mwanahalisi, pengine ndo inaanza kutekeleza mapendekezo ya tume hiyo kuanza kuyapunguza taratibu magezeti hayo na wameanza na shina bila shaka matawi hayatadumu tena

Wanajidanganya kwani kuna vyanzo vingi vya habari hata jf ni chanzo cha habari huru, ila kwa hili nakosa imani kama jf itaendelea kudumu zaidi ya mwaka, rungu la serikali linaweza kutuangukia muda c mwingi, kwani serikali huwa linatekeleza mapendekezo ya tume za ccm lakini sio tume zinzoziunda zenyewe kama ile ya richmond
 
Wanajidanganya kwani kuna vyanzo vingi vya habari hata jf ni chanzo cha habari huru, ila kwa hili nakosa imani kama jf itaendelea kudumu zaidi ya mwaka, rungu la serikali linaweza kutuangukia muda c mwingi, kwani serikali huwa linatekeleza mapendekezo ya tume za ccm lakini sio tume zinzoziunda zenyewe kama ile ya richmond

Hivi si tumuache mmiliki achukue hatua zinazostahili dhidi ya hiki kinachoonekana ni uonevu?
 
ndiyo maana watu wanajificha nyuma ya ID zako coz Ban ingekuwa imeshatembea kwa wote wanao ipinga CCM kupitia waajiri.Nasikia hata kwenye ofisi za serikali wamewapiga biti wafanyakazi ni marufuku kusimama vikundi vikundi.
 
Maana nae lilimsema vibaya sana yeye pamoja na chama chake katika matoleo yake, nataka kauli yake, walau aonyeshe furaha yake adharani, kwani Mh. Na CCM yake alishawahi kukubali pia kuwa gazeti hili lilichangia kupungua kwa kura za chama chake kwenye uchaguzi wa 2010

Pole, Mama Salma Kikwete

Na Nkwazi Mhango - Imechapwa 07 April 2010

Madudu mengine ya Kikwete haya hapa | Gazeti la MwanaHalisi
Na Mwandishi wetu - Imechapwa 19 May 2010

Umaarufu wa Kikwete 'feki' | Gazeti la MwanaHalisi

Siri za CCM, CUF zavuja
Na Saed Kubenea - Imechapwa 20 October 2010

Kikwete tumbo moto | Gazeti la MwanaHalisi
Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 29 December 2010

Rais Kikwete aumbuka
Na Saed Kubenea - Imechapwa 14 April 2010

Kikwete ndani ya CCJ | Gazeti la MwanaHalisi
Na Saed Kubenea - Imechapwa 18 May 2011

Kikwete maji ya shingo | Gazeti la MwanaHalisi
Na Saed Kubenea - Imechapwa 19 October 2011

Lowassa, Rostam kumzima Kikwete
Na Saed Kubenea - Imechapwa 08 June 2011

Rais Jakaya Kikwete dhaifu? | Gazeti la MwanaHalisi

Na Saed Kubenea - Imechapwa 14 September 2011

Rekodi ya aibu ikulu | Gazeti la MwanaHalisi

Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 23 November 2011

CCM sasa wamevuna walichopanda | Gazeti la MwanaHalisi
Na Saed Kubenea - Imechapwa 04 April 2012

Uhalali serikali ya JK ni wa kura tu?
Na Joster Mwangulumbi - Imechapwa 18 April 2012

Dua la kuku la CCM laishindwa CHADEMA | Gazeti la MwanaHalisi
Na Reginald Miruko - Imechapwa 02 May 2012

Makala hizi na nyingine nyingi zimechangia wananchi kupunguza imani kwa serikali hii ya ccm, nilitegemea basi CCM walau ingeipongeza serikali kwa wazi kabisa kwa kulifungia gazeti linalowanyima usingizi tena kwa muda usiojulikana, inaweza kuwa pia gazeti hili limefungiwa milele
iwa milele

Kwa nini CCM na JK pekee na siyo watanzania wote wapenda maendeleo? Hivi unaweza kulisifia gazeti ambalo hata siku moja haliwahabarishi wananchi juu hali ya uchumi, mazingira, taarifa za majanga ili kuchukua tahadhari n.k na badala yake kuwa chambo cha baadhi ya vyama vya siasa kujipatia umaarufu. Gazeti ambalo kila mtu anajiuliza ni chuo gani ambacho watumishi wake wamesomea kuangika majungu, fitina, uchochezi na umbea pekee. Hakika kwa Mtanzania ambaye anasimama katika ukweli, lazima ataona umuhimu wa kufungiwa Mwanahalisi kwa vile halipo kwa maslahi ya taifa bali kwa maslahi ya kisiasa tu.
 
Nakumbuka ile tume iliyoundwa kufanya utafiti kwa nini ccm imepoteza mvuto kama sikosei iliongozwa na mukama vile(katibu wa ccm wa sasa) ilisema wazi kuwa imepoteza umaarufu kwa sababu magazeti yanawachafua sana hasa mwanahalisi, pengine ndo inaanza kutekeleza mapendekezo ya tume hiyo kuanza kuyapunguza taratibu magezeti hayo na wameanza na shina bila shaka matawi hayatadumu tena

Ulisoma mapendekezo ya tume hiyo? haya tuambie hilo lilikuwa pendekezo la kwanza, la pili linasemaje? JF hakuna mwelekeo tena kila mtu anaamka anaandika anachokifikiria kichwani ili mradi tu naye aonekane yumo ndani ya JF. Hivi hakuna uwezejano wa kubadili kauli mbui ya JF? ili hata wenye mawazo finyu kama hawa nao waweze kukubalika.
 
ndiyo maana watu wanajificha nyuma ya ID zako coz Ban ingekuwa imeshatembea kwa wote wanao ipinga CCM kupitia waajiri.Nasikia hata kwenye ofisi za serikali wamewapiga biti wafanyakazi ni marufuku kusimama vikundi vikundi.

Siyo sera ya CDM. Unaruhusiwa kusimama vikundi kama mfanyakazi mwenzako ni nduguyo.
 
Kwa nini CCM na JK pekee na siyo watanzania wote wapenda maendeleo? Hivi unaweza kulisifia gazeti ambalo hata siku moja haliwahabarishi wananchi juu hali ya uchumi, mazingira, taarifa za majanga ili kuchukua tahadhari n.k na badala yake kuwa chambo cha baadhi ya vyama vya siasa kujipatia umaarufu. Gazeti ambalo kila mtu anajiuliza ni chuo gani ambacho watumishi wake wamesomea kuangika majungu, fitina, uchochezi na umbea pekee. Hakika kwa Mtanzania ambaye anasimama katika ukweli, lazima ataona umuhimu wa kufungiwa Mwanahalisi kwa vile halipo kwa maslahi ya taifa bali kwa maslahi ya kisiasa tu.


Unataka iandikeje hebu check hizi makala

Reli imetelekezwa, uchumi ukala mweleka | Gazeti la MwanaHalisi

Hakuna nia ya kuondoa umaskini | Gazeti la MwanaHalisi

Bila nishati, usalama wa taifa hatarini | Gazeti la MwanaHalisi

Rekodi ya kuzama kwa meli | Gazeti la MwanaHalisi

Mkukuta unaufanya umaskini uwe sugu | Gazeti la MwanaHalisi

umeshawahi kuzisoma hizi makala, jaribu basi kuzisoma hata kwa leo uone kama si za majanga, uchumi na kadhalika? Kama ulikuwa hulisomi kausha acha wanalolijua waseme
 
Unategemea JK atoe kauli gani zaidi ya kufurahia kuwa agizo lake la kuvinyamazisha vyombo vya habari vinavyoikosoa serikali yake dhaifu na dhalimu limetekelezwa?
 
Hayo ni madhara ya kuwa na serikali isiyopenda kukosolewa ,matokeo yake inatumia ubabe kufungia chombo cha habari
 
Back
Top Bottom