VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Andres Iniesta,kiungo mchezechaji wa FC Barcelona,ndiye mchezaji bora wa Ulaya kwa msimu wa 2011/2012. Amejizolea alama 18 huku Lionel Messi na Christiano Ronaldo wakijipatia alama 17 kila mmoja. Nionavyo,Iniesta anastahili. Bado mchezaji bora wa Dunia...