Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
Kuna jambo huwa najiuliza kila siku niwaonapo hawa DADA zangu wanofanya biashara ndogondogo kama kuuza KARANGA, PIPI, NDIZI, MAJI, SIGARA n.k
Utawakuta Wamejipodoa sana (CREAM), NYWELE zimepitia SALUNI, Nguo za KUTEGA na simu ya BEI ghali sana!!!
Hivi hizo pesa wanazopata kwenye hizo biashara zao zinawatosha kufanya mambo yote haya??!!
Utawakuta Wamejipodoa sana (CREAM), NYWELE zimepitia SALUNI, Nguo za KUTEGA na simu ya BEI ghali sana!!!
Hivi hizo pesa wanazopata kwenye hizo biashara zao zinawatosha kufanya mambo yote haya??!!