Kuna utata umetokea baada ya jamaaa zangu Kupendana wakati wanajua ni ndugu ,utata umetokea wanapong'ang'ania kuoana eti undugu wao upo mbali yaani inawezekana MTOTO WAKO AOE MJUKUU WA MJOMBA WAKO??!!maana yametokea mabishano wengne wanakubali wengne wanakataa,jamaa zangu wapo njia panda kwani ndugu hawajui km wameshawahi kushiriki kimwili mara kibao eti wamewakataza kujaribu kufanya hvyo kumbe ni too late.