Songasonga
Senior Member
- Mar 13, 2011
- 152
- 14
Sijui Kama yupo mtu Wa itifaki humu atupige tafu
Mimi naona tuangalie kwanza historia fupi ya kufukuzwa kwa Edward Lowasa na je yeye mwenyewe analikubali hilo? Kule Bungeni alipewa aina mbili za chaguo ili achague moja, yaani ajiuzuru mwenyewe au asubiri kufukuzwa Bungeni. Alipopima maji akaona akigoma kujiuzuru atafukuzwa kweli, akachagua kujiuzuru. Mara baada ya tukio la kujiuzuru Uwaziri Mkuu, mwamba huyu aliandaa mapokezi makubwa sana jimboni kwake. Kitendo cha kupokelewa kishujaa jimboni kwake kina maana kubwa moja, yaani kilichotokea Bungeni ni USHUJAA. Hivyo hakukubaliana nacho moja kwa moja. Kilichomtoa Lowassa ktk Uwaziri Mkuu ni kashfa ya Richmond, kampuni iliyopewa zabuni ya kuzalisha umeme wa dharura nchini. Akiwa ktk mahojiano na Tido Mhando ktk TBC (aliyoyaandaa na Tido kwa nia ya kumsafisha), Lowassa alirudia kusema kuwa "hajutii maamuzi aliyoyafanya kuhusu Richmond" na hata kama angekuwa bado ktk nafasi hiyo leo, angeamua kama alivyoamua awali. Katika hotuba yake ya kujiuzuru Bungeni, Lowassa kwa ukali na hasira alisema kuwa ameonewa, na kuwa yeye kama Waziri Mkuu hakupewa nafasi ya kujitetea, na kuwa HAHUSIKI na maamuzi yaliyofanywa ya kuipa Richmond zabuni hiyo nono, hivi Waziri anapodai kuonewa atakuwa anaonewa na nani?, hivi inawezekana ukaonewa na mdogo wako nyumbani?. Huyu ndio Edward Lowassa, leo hii anajiandaa kuliongoza Taifa hili mwaka 2015.
Waandishi wetu wa habari wana mapungufu mengi sana, sitashangaa nikiambiwa kuwa Lowassa kawanunua waandishi wa habari karibu magazei yote, haiingii akilini, mtu aliyejiuzuru akapewa hadhi ya kustaafu, hata hili nalo tunahitaji kwenda darasani jamani? Kama waandishi wa habari hajanunuliwa, basi kuanzia sasa waandike ukweli wa hadhi ya Lowassa kuwa "Waziri Mkuu aliyejiuzuru?.Kwa kufanya hivyo watakuwa wanawatendea haki watanzania, ikiwa ni pamoja na "baba na mama" zao waliowazaa.
Mimi naona tuangalie kwanza historia fupi ya kufukuzwa kwa Edward Lowasa na je yeye mwenyewe analikubali hilo? Kule Bungeni alipewa aina mbili za chaguo ili achague moja, yaani ajiuzuru mwenyewe au asubiri kufukuzwa Bungeni. Alipopima maji akaona akigoma kujiuzuru atafukuzwa kweli, akachagua kujiuzuru. Mara baada ya tukio la kujiuzuru Uwaziri Mkuu, mwamba huyu aliandaa mapokezi makubwa sana jimboni kwake. Kitendo cha kupokelewa kishujaa jimboni kwake kina maana kubwa moja, yaani kilichotokea Bungeni ni USHUJAA. Hivyo hakukubaliana nacho moja kwa moja. Kilichomtoa Lowassa ktk Uwaziri Mkuu ni kashfa ya Richmond, kampuni iliyopewa zabuni ya kuzalisha umeme wa dharura nchini. Akiwa ktk mahojiano na Tido Mhando ktk TBC (aliyoyaandaa na Tido kwa nia ya kumsafisha), Lowassa alirudia kusema kuwa "hajutii maamuzi aliyoyafanya kuhusu Richmond" na hata kama angekuwa bado ktk nafasi hiyo leo, angeamua kama alivyoamua awali. Katika hotuba yake ya kujiuzuru Bungeni, Lowassa kwa ukali na hasira alisema kuwa ameonewa, na kuwa yeye kama Waziri Mkuu hakupewa nafasi ya kujitetea, na kuwa HAHUSIKI na maamuzi yaliyofanywa ya kuipa Richmond zabuni hiyo nono, hivi Waziri anapodai kuonewa atakuwa anaonewa na nani?, hivi inawezekana ukaonewa na mdogo wako nyumbani?. Huyu ndio Edward Lowassa, leo hii anajiandaa kuliongoza Taifa hili mwaka 2015.
Waandishi wetu wa habari wana mapungufu mengi sana, sitashangaa nikiambiwa kuwa Lowassa kawanunua waandishi wa habari karibu magazei yote, haiingii akilini, mtu aliyejiuzuru akapewa hadhi ya kustaafu, hata hili nalo tunahitaji kwenda darasani jamani? Kama waandishi wa habari hajanunuliwa, basi kuanzia sasa waandike ukweli wa hadhi ya Lowassa kuwa "Waziri Mkuu aliyejiuzuru?.Kwa kufanya hivyo watakuwa wanawatendea haki watanzania, ikiwa ni pamoja na "baba na mama" zao waliowazaa.
Kunradhi wakubwa, kuuliza si ujinga. Hivi hili neno "kustaafu" linapaswa litumike wakati gani? Maana kila mara naona vyombo vya habari vinamripoti Mh.Lowassa kama waziri mkuu msaafu. Sasa hapa ndipo napata kichomi kwamba Mh.Lowassa alistaafu au alijiuzulu?? Sijasikia wakisema Msuya, Warioba, Sumaye, Salim, Malecela na wengine waliopita kwamba ni wastaafu. Mara nyingi husikia wakisema waziri mkuu wa zamani fulani Bin fulani. Na hawa ni wale waliomaliza angalau term moja ya miaka 5. Kwanini basi kwa Lowassa wasiseme tu waziri mkuu aliyejiuzulu? Maana alijiuzulu huyu. Kwa hiyo basi kumbe mtu akijiuzulu kwa hiari au kwa shinikizo, ndiyo anaitwa mstaafu??
Naomba mwongozo wakuu.
Nimekubali mkuu. Kwa hiyo sasa kumbe hakuna cheo ama sifa rasmi za wakuu hawa? Huenda waandishi wetu wa habari wako sahihi basi. Maana kama Msuya katumikia vipindi 2 tofauti aitweje? Malecela naye hakumaliza (je, kwa nini hakumaliza? au naye alijiuzulu?) na anaitwaje sasa? The same applies to Dr. Salim hakumaliza,, na nadhani anaitwa waziri mkuu wa zamani. Ikubalike kuwa na Lowassa aitwe waziri mkuu wa zamani, maana hii "kustaafu inakwaza kidoogo.Mkuu,
Dr. Salim hakumaliza miaka 5 akiwa ni premier, Msuya alitumikia u-premier kwa nyakati mbili tofauti, Malecela hakumaliza term ya miaka 5 akiwa ni premier. Ni sahihisho tu kidogo ili tubaki vema kwenye mada.
Nimepita tu mkuu.... ngoja nisubiri mwandishi atakayethubutu kumtaja kama unavyopendekeza.
Mimi napendekeza wamwite waziri mkuu wa zamani ....
Nitarudi
Si suala la mjadala anymore kuwa huu ni mkakati wa makusudi wa EL kwa ajili ya 2015. Wanahabari wote ambao wako kwenye payroll yake wataendelea kum-address kama "waziri mkuu mstafu" regardless of what sisi humu jamvini tunachokisema!
Kwa wanahabari ambao wako sober lakini huwa wanatumia "waziri mkuu mstaafu" kimkumbomkumbo tu, kwa nini msim-address kwa cheo chake cha sasa "mbunge wa monduli" badala ya cheo marehemu ambacho kiukweli alinyang'anywa??
Kunradhi wakubwa, kuuliza si ujinga. Hivi hili neno "kustaafu" linapaswa litumike wakati gani? Maana kila mara naona vyombo vya habari vinamripoti Mh.Lowassa kama waziri mkuu msaafu. Sasa hapa ndipo napata kichomi kwamba Mh.Lowassa alistaafu au alijiuzulu?? Sijasikia wakisema Msuya, Warioba, Sumaye, Salim, Malecela na wengine waliopita kwamba ni wastaafu. Mara nyingi husikia wakisema waziri mkuu wa zamani fulani Bin fulani. Na hawa ni wale waliomaliza angalau term moja ya miaka 5. Kwanini basi kwa Lowassa wasiseme tu waziri mkuu aliyejiuzulu? Maana alijiuzulu huyu. Kwa hiyo basi kumbe mtu akijiuzulu kwa hiari au kwa shinikizo, ndiyo anaitwa mstaafu??
Naomba mwongozo wakuu.
[B said:Ndibalema;1736094]Mbaya zaidi hata serikali yenyewe inamchukulia EL kama waziri mkuu mstaafu na ndio maana hadi leo analipwa asilimia80 ya mshahara wa waziri mkuu kila mwezi, hayo ni malipo ambayo hulipwa waziri mkuu mstaafu[/B].
Mkuu Ndiba tunaweza kupata uhakika katika hili? Please tusaidie ili tufuatilie kumake sure nonsenses kama hizi zinaachwa mara moja. Hatuweza kutreat kujiuzulu kwa kashfa na kustaafu kama ni same thing. Wote tunajuwa HR policies za mahala pengi tu kwamba ukijiuzulu kuna benefits fulani unazipoteza hili linapaswa kuapply kwenye uwaziri mkuu pia. Maana ya 80% ni shukrani kwa mchango wa kulitumikia Taifa sasa kama mtu kaliingiza Taifa kwenye shida then tunaendelea kumreward kwa lipi? Huu ni uwendawazimu na si vinginevyo.