superfisadi
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 553
- 52
Mimi nafikiria kuacha kulipa kodi watawala wanazitumia vibaya haiwezekani mtu ajiuzulu hlf aendelee kupata mafao km waziri mkuu mstaafu kweli katiba mpya haikwepekini waziri mkuu aliyejiuzuli kukwepa kufutwa kazi na umma.