Ni halali kumuacha mkeo kisa hajui kupika?

Haya kalale mama,mi namsubira Bacha sijui yeye atasema nini kuhusu huu mgogoro?

ahh bacha hana mpango..NIMEMSIMAMISHA PENZIN KWA MASLAHI YA TAIFA
mwanaume gan kaashindwa kuniletea uyoga ?ata mayai ya kenge kashindwaaaa ahh simtak tena
na ninamsubiri aje apa ....
 
Mapenzi kusahihishana, kufundishana na kueleweshana.
Pia bila uvumilivu hamna penzi.
Hyo jamaa hakuwa muoaji, ndio maana akanyimwa na mpaji, badala ya kupewa gari akapewa baiskeli
 
Mapenzi kusahihishana, kufundishana na kueleweshana.
Pia bila uvumilivu hamna penzi.
Hyo jamaa hakuwa muoaji, ndio maana akanyimwa na mpaji, badala ya kupewa gari akapewa baiskeli

kwa hiyo is it wise to classify women?
kwahiyo type gani ni gari na type gani ni baiskeli?
what happened to kusahihishana,kufundishana na kueleweshana?
 
Mapenzi kusahihishana, kufundishana na kueleweshana.
Pia bila uvumilivu hamna penzi.
Hyo jamaa hakuwa muoaji, ndio maana akanyimwa na mpaji, badala ya kupewa gari akapewa baiskeli




Mapenzi ni kufundishana na kusahihishana sawa,lakini ni wangapi wako tayari kufundishwa?Vipo visa vingi tu ila nitakupa kimoja cha mke aliyemwambia mumewe"Bwana ee si umenikuta hivihivi,kama huwezi kuendelea kula fast food basi ingia mwenyewe jikoni,kisa cha kuniharibia kucha zangu mie?"Sasa hapo kuna kufundishana kweli?
 
Nakubaliana na we Rose,kama mwanamke amekupenda atajifunza kila analopungukiwa for the sake ya huyo anaempenda na uhusiano.Si sahihi kumuacha mwanamke kwa kuwa hajui kupika,vipi sisi tukiolewa na wanaume wasioweza kufanya mapenzi,wanaonuka vikwapa na wachafu,wavivu,waongo,wazinzi?tuwe na si baada ya siku tatu tunawarudisha kwa wazazi???????kama mtu hataki kubadilika sawa but mpe muda na msaidie kuwa mke unayetaka awe.Ni hayo tu.
yaan utamkuta mdada mkubwa hajui kupika ,rum yake chaafu kitanda akiamka anaacha ivo vo na net yake jion akija anajidumbukiza km anatumbukia kwenye kiota
hajui kupika,kuosha vyombo wala kuoga na kabat lake lipo km sagura sagura ya tandka lakin ukimwona uko nje anajifanya kuact kilady..akisimama apo mbela kupresent pepa yake ahh unaona uyu ndo mwanamke kipangaaa lakin dah home affairs utalia..
stl WANAFUNDSHIKA..KM AMEKUPENDA KWELI UKIMFUNDISHA ATAKUPATA NA ATAKUWA MKE MWEMA NA atafanya kaz zoote
 
yaan utamkuta mdada mkubwa hajui kupika ,rum yake chaafu kitanda akiamka anaacha ivo vo na net yake jion akija anajidumbukiza km anatumbukia kwenye kiota
hajui kupika,kuosha vyombo wala kuoga na kabat lake lipo km sagura sagura ya tandka lakin ukimwona uko nje anajifanya kuact kilady..akisimama apo mbela kupresent pepa yake ahh unaona uyu ndo mwanamke kipangaaa lakin dah home affairs utalia..
stl WANAFUNDSHIKA..KM AMEKUPENDA KWELI UKIMFUNDISHA ATAKUPATA NA ATAKUWA MKE MWEMA NA atafanya kaz zoote

Da Rose Umenena, hasa hapo kwenye red, Ila punguza hasira hasa kwa hilo la kuoga????
 
Nakubaliana na we Rose,kama mwanamke amekupenda atajifunza kila analopungukiwa for the sake ya huyo anaempenda na uhusiano.Si sahihi kumuacha mwanamke kwa kuwa hajui kupika,vipi sisi tukiolewa na wanaume wasioweza kufanya mapenzi,wanaonuka vikwapa na wachafu,wavivu,waongo,wazinzi?tuwe na si baada ya siku tatu tunawarudisha kwa wazazi???????kama mtu hataki kubadilika sawa but mpe muda na msaidie kuwa mke unayetaka awe.Ni hayo tu.



Hivi mwanamke naye siku hizi anatoa talaka?
 
Kuna jamaa mmoja alioa mke mrembo ambaye wazazi wake waliishi kama kilomita 20 toka alipokuwa anaishi jamaa huyo.Tatizo lilijitokeza siku ya kwanza mke alipoingia ndani,ile kuandaa ugali mezani jamaa akagundua kuwa ulikuwa mbichi,ukamwagwa.Siku ya pili,vilevile na ya tatu jamaa akachoka na kuchukua chungu cha ugali kisha akakifunga kwenye baiskeli na talaka mkononi kwenda ukweni.Kufika huko akakabidhi ugali mbichi kama ushahidi na talaka juu.Sasa ndio ninajiuliza ni halali kumwacha mkeo kisa hajui kupika?

Huyo jamaa kwanza hakuwa na akili! Haiwezekano mfano mtoto umtoe bukoba afu ampike ugal siku zote hzo tatu! Na kwanini mtoto mzuri umlishe ugal siku tatu?
 
Aka mwenzangu mi napenda kujifunza mambo mazuri na wenzangu tena ndo naelewa vizuri...........basi tena,ngoja ni subiri somo yangu nikishampata huyo bwana anifundishe kupika,
Kwa pamoja itakuwa ngumu kidoooooogo labda mje mmoja mmoja....
 
Mapenzi ni kufundishana na kusahihishana sawa,lakini ni wangapi wako tayari kufundishwa?Vipo visa vingi tu ila nitakupa kimoja cha mke aliyemwambia mumewe"Bwana ee si umenikuta hivihivi,kama huwezi kuendelea kula fast food basi ingia mwenyewe jikoni,kisa cha kuniharibia kucha zangu mie?"Sasa hapo kuna kufundishana kweli?

E e e e!!! PM, hajawahi kudundwa huyo :embarrassed: ????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom