Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
He....! Yaani kamshahara kangu ukale na huko tena nije nikuhudumue?
eeh km utak basi mwite haus boy aje akusaidie!!!!!1
yan u mbahili mpaka kwenye busu ahh i hatari!!!!!!!
He....! Yaani kamshahara kangu ukale na huko tena nije nikuhudumue?
Haya kalale mama,mi namsubira Bacha sijui yeye atasema nini kuhusu huu mgogoro?
Mapenzi kusahihishana, kufundishana na kueleweshana.
Pia bila uvumilivu hamna penzi.
Hyo jamaa hakuwa muoaji, ndio maana akanyimwa na mpaji, badala ya kupewa gari akapewa baiskeli
eeh km utak basi mwite haus boy aje akusaidie!!!!!1
yan u mbahili mpaka kwenye busu ahh i hatari!!!!!!!
Mapenzi kusahihishana, kufundishana na kueleweshana.
Pia bila uvumilivu hamna penzi.
Hyo jamaa hakuwa muoaji, ndio maana akanyimwa na mpaji, badala ya kupewa gari akapewa baiskeli
yaan utamkuta mdada mkubwa hajui kupika ,rum yake chaafu kitanda akiamka anaacha ivo vo na net yake jion akija anajidumbukiza km anatumbukia kwenye kiota
hajui kupika,kuosha vyombo wala kuoga na kabat lake lipo km sagura sagura ya tandka lakin ukimwona uko nje anajifanya kuact kilady..akisimama apo mbela kupresent pepa yake ahh unaona uyu ndo mwanamke kipangaaa lakin dah home affairs utalia..
stl WANAFUNDSHIKA..KM AMEKUPENDA KWELI UKIMFUNDISHA ATAKUPATA NA ATAKUWA MKE MWEMA NA atafanya kaz zoote
yaan utamkuta mdada mkubwa hajui kupika ,rum yake chaafu kitanda akiamka anaacha ivo vo na net yake jion akija anajidumbukiza km anatumbukia kwenye kiota
hajui kupika,kuosha vyombo wala kuoga na kabat lake lipo km sagura sagura ya tandka lakin ukimwona uko nje anajifanya kuact kilady..akisimama apo mbela kupresent pepa yake ahh unaona uyu ndo mwanamke kipangaaa lakin dah home affairs utalia..
stl WANAFUNDSHIKA..KM AMEKUPENDA KWELI UKIMFUNDISHA ATAKUPATA NA ATAKUWA MKE MWEMA NA atafanya kaz zoote
Njoo kwangu nikufundishe hata Rose alijifunzia kwangu alivyojua akanikimbia.
Nami ntakuja si utaweza kutufundisha wote mi na Pauline???????/
its a shame for an african woman not knowing how to cook......i support the divorce
Nakubaliana na we Rose,kama mwanamke amekupenda atajifunza kila analopungukiwa for the sake ya huyo anaempenda na uhusiano.Si sahihi kumuacha mwanamke kwa kuwa hajui kupika,vipi sisi tukiolewa na wanaume wasioweza kufanya mapenzi,wanaonuka vikwapa na wachafu,wavivu,waongo,wazinzi?tuwe na si baada ya siku tatu tunawarudisha kwa wazazi???????kama mtu hataki kubadilika sawa but mpe muda na msaidie kuwa mke unayetaka awe.Ni hayo tu.
mi najua kupika ugali..eee??.
We unatufaa wasukuma......
Kuna jamaa mmoja alioa mke mrembo ambaye wazazi wake waliishi kama kilomita 20 toka alipokuwa anaishi jamaa huyo.Tatizo lilijitokeza siku ya kwanza mke alipoingia ndani,ile kuandaa ugali mezani jamaa akagundua kuwa ulikuwa mbichi,ukamwagwa.Siku ya pili,vilevile na ya tatu jamaa akachoka na kuchukua chungu cha ugali kisha akakifunga kwenye baiskeli na talaka mkononi kwenda ukweni.Kufika huko akakabidhi ugali mbichi kama ushahidi na talaka juu.Sasa ndio ninajiuliza ni halali kumwacha mkeo kisa hajui kupika?
Kwa pamoja itakuwa ngumu kidoooooogo labda mje mmoja mmoja....
Mapenzi ni kufundishana na kusahihishana sawa,lakini ni wangapi wako tayari kufundishwa?Vipo visa vingi tu ila nitakupa kimoja cha mke aliyemwambia mumewe"Bwana ee si umenikuta hivihivi,kama huwezi kuendelea kula fast food basi ingia mwenyewe jikoni,kisa cha kuniharibia kucha zangu mie?"Sasa hapo kuna kufundishana kweli?
anajua kwenda salun na kupiga mizinga daily.