Ni halali kumlazimisha Dada yako akaolewe?

Mi nafiri huyo dada alikuwa na hasira tu, au zaidi alikuwa na 'frustrations'...kwa sababu inaelekea uhusiano wake na wifi yake si mzuri kabisa, ndio maana wifi anaona bora aondoke tu akaanze maisha yake na yeye (first rejection), Pia naona kaka yake inaelekea ameshikwa na mkewe kiasi ( au anampenda sana mkewe) kiasi anakubaliana na umamuzi wa mdogo wake kuondoka awaache huru, na hii imepelekea kumshinikiza dada yake aondoke (second rejection). Halafu anakimbilia kwa boyfriend/mchumba wake ambaye kwa kweli katika hali hiyo ni kimbilio lake, bf naye analeta 'longo longo' sijui kasubiri, sijui rudi kwenu (thrid rejection).....Unaona mwisho wa siku huyo dada 'hana mtu yeyote' (she dont have nobody) kwenye upande wake, she is alone, rejected, confused, frustrated, and depressed (ameshatishia kuua au kujiua)...its logic to be angry and say/do anything she didnt mean!

Kama anampenda...amsamehe mpenzi wake, akae naye, amtulize, kama atabaki naye ahapo kwake au kumrudisha kwao kwa muda..lakini afanye formalities za kuwa naye kihalali!

Huyo dada anahitaji msaada, na siyo maamuzi ya hasira kutokana na jinsi alivyobehave vibaya. Na msaada huo the way I see it unaweza kutoka kwa huyo jamaa yake tu!
 
muim ni kujua tu huyo dada alichanganyikiwa na ndomana aliweza kutamka maneno yasofaa na kumlushia cm mana kama tabia yake ni mbaya si angeiona tangu hapo nyuma si washa kaa miaka 3? hapo watakuwa walisha gombana sana ila wakaelewana so kifupi wanajua tabia huyu dada kuhamia kwa bf wake hakukosea mana kama kafukuzwa kwa kaka hakuwa na jinsi huyo rafiki yako angempokea vizuri nakujadili nae kiustaarabu naimani wangefika muafafa ila kumfukuza alikosea sana..Muim kwa sasa akaena mpnz wake wajadili kumuacha sipo solution
 
Kaka mtu alikuwa na wasiawsi wa dadake kutoolewa na huyo mkaka ka ulivyosema ana chapaa, na ndo maana aliwaka kulipokuwa na miscariage, inaelekea anataka kumtumia dadake kupata fedha ndo maana alimlazimisha kujipeleka kwa mwanaume. All in all kama wanapendana kwa dhati kabisa wasameheane maana ni force za kaka mtu na wifi yake binti akatumia nguvu na hasira. makosa hutokea, msamaha na kubadilika ndo vya msingi.
 
Jamaa alikuwa anakataa asikae kwake na kumshhi arudi nyumban kwao. Katika hizo purukushani ndipo akapigwa na cm. Kwa busara hakumjibu yule gf bali alinitext na ndipo nikampigia akanipa full stor. Kimsingi huyu bwana asingefika huku kama sio papara na uelewa mdogo wa huyu gf.y.

Mimi nahisi, maisha anayoishi huyu binti na huyo kaka ake ndiyo yanapelekea huyu amekuwa hivi.
Naamini ukimsikiliza huyu dada naye, utaweza kupata ni jinsi gani, haya mambo yalikuwa.
Kumsikiliza huyo kaka peke yake, haitoshi kuona kwamaba huyu binti ana matatizo makubwa kiasi hicho.

Kwanza tukumbuke ni miezi miwili tu, ametoka kwenye maumivu ya kuharibikiwa mimba,
Bado kaka ake anamfanyia unyama pengine ni kwa sababu alibeba hiyo mimba.

Dah, lazima kunakuchanganyikiwa hapo. Kuwe tu na roho ya utu na upendo.
Wakati huu ni mgumu sana kwake, kaka hamtaki, boyfriend aliyembebesha mimba na kumsababishia
maumivu pia hamtaki. Jamani hili ni jaribu kubwa kwa huyu dada.

Hebu chukulia angekuwa ni dada yako, haiwezekani akampiga mtu kwa simu bila sababu, hata kama ni hasira,
hasira zina sababu, na baada ya kukugundua kaka yake ndiye anayeleta matatizo mmemsaidia je.

Hebu kaa upande wa huyo dada, halafu uone na kutafakari vizuri. Mchukulie kama mwanao, au dada yako, au mama yako
kabisa. Ooh my God, muoneeni huruma, basi atulie kwanza, muonesheni upendo, manake mmehusika katika hayo mapito yake.
Halafu baada ya muda atakapokuwa na yeye akili zimemkaa sawa, ataamua vizuri cha kufanya.

Nimehuzunika SANA!!!!!
 
Mimi nahisi, maisha anayoishi huyu binti na huyo kaka ake ndiyo yanapelekea huyu amekuwa hivi.
Naamini ukimsikiliza huyu dada naye, utaweza kupata ni jinsi gani, haya mambo yalikuwa.
Kumsikiliza huyo kaka peke yake, haitoshi kuona kwamaba huyu binti ana matatizo makubwa kiasi hicho.

Kwanza tukumbuke ni miezi miwili tu, ametoka kwenye maumivu ya kuharibikiwa mimba,
Bado kaka ake anamfanyia unyama pengine ni kwa sababu alibeba hiyo mimba.

Dah, lazima kunakuchanganyikiwa hapo. Kuwe tu na roho ya utu na upendo.
Wakati huu ni mgumu sana kwake, kaka hamtaki, boyfriend aliyembebesha mimba na kumsababishia
maumivu pia hamtaki. Jamani hili ni jaribu kubwa kwa huyu dada.

Hebu chukulia angekuwa ni dada yako, haiwezekani akampiga mtu kwa simu bila sababu, hata kama ni hasira,
hasira zina sababu, na baada ya kukugundua kaka yake ndiye anayeleta matatizo mmemsaidia je.

Hebu kaa upande wa huyo dada, halafu uone na kutafakari vizuri. Mchukulie kama mwanao, au dada yako, au mama yako
kabisa. Ooh my God, muoneeni huruma, basi atulie kwanza, muonesheni upendo, manake mmehusika katika hayo mapito yake.
Halafu baada ya muda atakapokuwa na yeye akili zimemkaa sawa, ataamua vizuri cha kufanya.

Nimehuzunika SANA!!!!!

Nipo xul kwa sasa . Ushauri mlotoa nitappitia kwa kina. Nikipata muda tutakaa pamoja tujadili ili tufikie muafaka baina yao. By the moment I Can not help them, but I wish to do so through your advice. Thank you for zour appreciation
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom