Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,463
- 113,530
Kenge, ni kweli watu wanaruhusiwa kumiliki silaha, bunduki na bastola za aina zozote isipokuwa pistor za Colt .38 ni kwa matumizi ya Tiss tuu na AK 47 haziruhusiwi kutumika kisheria, hutumiwa na comandoo na marcernaries katika covert operations ambazo sio za kisheria bali za kijasusi!.Marehemu DITO alikutwa na risasi ya AK 47 airport ikithibitisha kuwa anamiliki bunduki aina ya AK 47 baada ya kujitetea kuwa mke wake alisahau kuitoa kwenye suitcase. Itakuwaje mtu ushangae pistol na sio AK 47 bunduki za kivita na mtu baki anamiliki?
Huu ni upofu ndani ya miaka 50 ya uhuru.
Kama ni kweli Ditto alikutwa na AK 47 then ni kosa kisheria na alipaswa kushitakiwa no matter ameipataje hata kama ni kihalali matumizi yake ni illegal.