Ndugu zangu mimi nadhani nchi pasipo usawa kwa wote sio nzuri hata kidogo, imani ni kitu kizuri na sio cha kuchezea hata kidogo na Tanzania tujivunie sana amani ambayo misingi yake imejengwa na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere. Amani ni kitu cha misingi sana lakini lazima tuelewa mambo yafuatayo.
Mwalimu alijaribu kulinda na kuieenz kwa nguvu zote haki za raia wote bila kuonyesha matabaka ya haki za maskini na tajiri. Alijiitahidi sana lazima niseme. Ndio maana amani ikadumu vya kutosha lakini serikali zingine zilizofuata kwa kweli ni maoni yangu kuwa ndio chazo cha vurugu tunazoziona kila wakati na kila kunakucha. CDM wakati mwingi sana wanaonewa watu wakiandamana kudai haki kwanini dola itumike bila busara kwa njii hii Amani anavuruga nani kama sio serikali, CCM kupitia kwa Jeshi La Polisi. Keshi za kila siku kwa wabunge wa CDM kwanini ? Ni dhambi kuwa Mbunge wa chama pinzani ? Nadhani mpaka mwaka 2015 wabunge wote wa CDM kama hawajafungwa wote na wafuasi wao basi kila Mbunge wa CDM na wafuasi wao watafunguliwa kesi hata 1000 kwa hili ya sasa inavyokwenda.
Mimi binafsi kuonyeshwa kwa Bastola ya Dr. Silaa hadharani na polisi tena kwa kusema tumewakamata watuhumiwa na wamekutwa na Bastola na kuwataja majina kama walivyotaja jina la Dr. Silaa ni dharau na kuvunja haki ya msingi ya kujilinda ya Dr. Silaa. Mtu hununua Bastola kwa kujilinda lakini kama adui wako atajua wewe una Bastola basi maisha ya huyu mtu (Dr. Silaa) yatakuwa hatarini zaidi. Haina tena maana kama kila mtu anajua unabastola kama walivyofanya polisi jana kwa Dr. Silaa. Au ni kujibu mashambulizi ya Aden Rage aliyeonyeshwa na Magazeti akiwa jukwaani akiwa na Bastola ? Hili pia sio zuri lakini hili la Rage ni Uzembe wake hakuna aliyemlazimisha kutoificha bastola yake.
Ushauri wangu kwa Dr. Silaa, amfungulie kesi ya jina na madai yule polisi aliyeonyesha hiyo Bastola kwani baadhi yetu sisi jana tulishutushwa na tangazo lilie kwani kwa masikio ya wengi kama mimi ni either Dr. Silaa haimiliki Bastola kwa halali ( Jambazi) au amedhalilishwa tu. Polisi wana haki gani kisheria kutangaza vifaa wanavyoyakuta mikononi mwa mtuhumiwa kama issue sio ya ujambazi ?? This is double standards ni kwa njia hii Amani sidhani na naogopa sana kama itadumu kwa muda mrefu. Polisi na serikali acheni kutuvurugia Amani yetu.
Ndugu zangu Umma maana yake ni POWER. Serikali, Polisi na mtu yeyote lazima kuheshimu kwa nguvu zote umma, madaraka na kila kitu including kazi za polisi ni UMMA. If police whose roles are primarly to protect the walfare, peace and security and create harmony on behalf of all citizens begins to contradict these roles and responsibilities, peace and security will be gone, they legitimacy and respect for police and goverment when it reaches this stage comes to an end and that is NO peace and security anymore. This is impunity we must stand as PUBLIC to say NO.
I stand to be corrected.
United we stand !
Kibori
Mwalimu alijaribu kulinda na kuieenz kwa nguvu zote haki za raia wote bila kuonyesha matabaka ya haki za maskini na tajiri. Alijiitahidi sana lazima niseme. Ndio maana amani ikadumu vya kutosha lakini serikali zingine zilizofuata kwa kweli ni maoni yangu kuwa ndio chazo cha vurugu tunazoziona kila wakati na kila kunakucha. CDM wakati mwingi sana wanaonewa watu wakiandamana kudai haki kwanini dola itumike bila busara kwa njii hii Amani anavuruga nani kama sio serikali, CCM kupitia kwa Jeshi La Polisi. Keshi za kila siku kwa wabunge wa CDM kwanini ? Ni dhambi kuwa Mbunge wa chama pinzani ? Nadhani mpaka mwaka 2015 wabunge wote wa CDM kama hawajafungwa wote na wafuasi wao basi kila Mbunge wa CDM na wafuasi wao watafunguliwa kesi hata 1000 kwa hili ya sasa inavyokwenda.
Mimi binafsi kuonyeshwa kwa Bastola ya Dr. Silaa hadharani na polisi tena kwa kusema tumewakamata watuhumiwa na wamekutwa na Bastola na kuwataja majina kama walivyotaja jina la Dr. Silaa ni dharau na kuvunja haki ya msingi ya kujilinda ya Dr. Silaa. Mtu hununua Bastola kwa kujilinda lakini kama adui wako atajua wewe una Bastola basi maisha ya huyu mtu (Dr. Silaa) yatakuwa hatarini zaidi. Haina tena maana kama kila mtu anajua unabastola kama walivyofanya polisi jana kwa Dr. Silaa. Au ni kujibu mashambulizi ya Aden Rage aliyeonyeshwa na Magazeti akiwa jukwaani akiwa na Bastola ? Hili pia sio zuri lakini hili la Rage ni Uzembe wake hakuna aliyemlazimisha kutoificha bastola yake.
Ushauri wangu kwa Dr. Silaa, amfungulie kesi ya jina na madai yule polisi aliyeonyesha hiyo Bastola kwani baadhi yetu sisi jana tulishutushwa na tangazo lilie kwani kwa masikio ya wengi kama mimi ni either Dr. Silaa haimiliki Bastola kwa halali ( Jambazi) au amedhalilishwa tu. Polisi wana haki gani kisheria kutangaza vifaa wanavyoyakuta mikononi mwa mtuhumiwa kama issue sio ya ujambazi ?? This is double standards ni kwa njia hii Amani sidhani na naogopa sana kama itadumu kwa muda mrefu. Polisi na serikali acheni kutuvurugia Amani yetu.
Ndugu zangu Umma maana yake ni POWER. Serikali, Polisi na mtu yeyote lazima kuheshimu kwa nguvu zote umma, madaraka na kila kitu including kazi za polisi ni UMMA. If police whose roles are primarly to protect the walfare, peace and security and create harmony on behalf of all citizens begins to contradict these roles and responsibilities, peace and security will be gone, they legitimacy and respect for police and goverment when it reaches this stage comes to an end and that is NO peace and security anymore. This is impunity we must stand as PUBLIC to say NO.
I stand to be corrected.
United we stand !
Kibori