Amina Thomas
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 272
- 129
<br />katika hali ambayo me nimeiona ni ngeni machoni pangu nimeshuhudia housegirl akifua chupi za mabosi zake. Tena c mara moja ni zaidi ya miezi sita sasa.<br />
Jamani labda me ni mshamba kushangaa ishu hiyo naombeni mnijuze jamvini ni sahihi suala hilo?
<br />
hao ni wachafu hasa huyo mama. Lazima hata kitanda anatandikiwa na choo cha master anasafishiwa. Wanataka kumuambukiza binti wa watu maradhi ya fangasi!