Katika kutekeleza sheria ya kuwaondoa waliojenga mabondeni halmashauri ya ilala kupitia kwa meya wake jelly silaa wametoa tamko la kuvunja nyumba zote mabondeni ndani ya mwezi mmoja. je hili ni suluhisho au kuongeza tatizo? kuvunja nyumba bila ya kujua wakazi wa mabondeni wataenda wapi ni kuwasaidia au kuwaangamiza wananchi masikini?