Ni dhahiri sasa kuwa huu ni mgawo.

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
Tanesco wamekuwa na spin nyingi sana za matengenezo. Leo wametutangazia kutakuwa na ukosef wa umeme ilala kuanzia saa 3 had saa 11 tar 27 mwez 9. pia wametangaza kinondoni watakosa umeme tar 28 mwez 9 kuanzia saa 2 had saa 12. nafkir kuna mgawo na umeratibiwa vema kwa ushirikiano wa tanesko na TMA. eti kuna el ninyo. Na hawa tanesko ndo wamekuwa wakikata umeme kwa kisingizio cha matengenezo kupisha eln ninyo. hamna el ninyo wala el nyonyo. Leo bado sku nne tu mwez wa kumi uanze na akuna ata dalili ya mvua. Tanesco wastuchezee akili. Tangazeni ka kuna mgawo 2juwe moja.
 
Tanesco wamekuwa na spin nyingi sana za matengenezo. Leo wametutangazia kutakuwa na ukosef wa umeme ilala kuanzia saa 3 had saa 11 tar 27 mwez 9. pia wametangaza kinondoni watakosa umeme tar 28 mwez 9 kuanzia saa 2 had saa 12. nafkir kuna mgawo na umeratibiwa vema kwa ushirikiano wa tanesko na TMA. eti kuna el ninyo. Na hawa tanesko ndo wamekuwa wakikata umeme kwa kisingizio cha matengenezo kupisha eln ninyo. hamna el ninyo wala el nyonyo. Leo bado sku nne tu mwez wa kumi uanze na akuna ata dalili ya mvua. Tanesco wastuchezee akili. Tangazeni ka kuna mgawo 2juwe moja.

TaneSiko mnawaonea bure bandugu! Muulizeni Prof.

Time is the best advocate!
 
Last edited by a moderator:
Prof. alisema hatutakaa tupate mgawo wa umeme tena. Maana mgawo uliokuwepo ulikuwa wa kupangwa. Nadhani kama kuna mgawo itabidi atuambie kama na yeye kaamua kutupangia mgawo kwa utashi wake tuu. Inavyoonekana siku hizi anamuomba Mungu awahishe mvua ili asiumbuke. Maana nakumbuka kuna mwingine alisema mgawo hauepukiki, akashambuliwa kama mpira wa kona. Kwa hiyo nadhani kwa dalili hizi tayari watanzania wameshaanza kujua nani alikuwa sahihi, Prof. au yule mwingine???
 
Huku kwetu wamekata umeme kuanzia saa moja hadi mda huu, sijui ni matengenezo gani hayo usiku wote huu..
 
na tangazo lao wanalotoa kila siku eti hakuna mgao, yaani wanatia kifechufechu...!!!
 
Back
Top Bottom