Dilunga
JF-Expert Member
- Apr 8, 2009
- 679
- 49
Sijui wengine wangeonaje, lakini binafsi nadhani Rais anaepambana na madawa ya kulevya hatakiwi kuingiza Ikulu vijana vya bongo flava vilivyo vaa paraphernalia za madawa ya "Kaya" na "Speed."
Nadhani Rais anaeheshimu State House kama Nyerere angewafukuzilia mbali hawa:
Nadhani Rais anaeheshimu State House kama Nyerere angewafukuzilia mbali hawa: