Max kissey
Member
- Jan 28, 2016
- 81
- 63
mkuu hakuna namna, mi mtu akiniambia yupo single naanza kuweka maswali mengi juu yake, ila anayesema ana mtu angalau naweza kukomaa naye....
mkuu hakuna namna, mi mtu akiniambia yupo single naanza kuweka maswali mengi juu yake, ila anayesema ana mtu angalau naweza kukomaa naye....
Hivi mkuu mwanamke ukimpata kwa njia hiyo unawezaje kumwamini... Jaribu kujiuliza kama wewe uliweza kumpata mwingine atashindwa.... Yani namaanisha na wewe hutokua perfect kila sehemu so akitokea mtu meingine mwenye maneno mazuri ya kukuzidi hapo ndo itakua expire date yako kama ilivyokua kwa mwenzako... May be kama huna mipango ya kufumu nae... Sema kama itatokea mchizi alikua anamuonea malkia hapo itabidi umpe somo la mapinduzi.Kwa uzoefu wangu wanawake wengi ambao.unamtongoza na unakuta hana mtu kabisa wengi wanakuwa na matatizo ambayo hayavumiliki!! kwa kifupi huwa unakuwa mfupa uliowashinda wenzako!!
Kama una hela ni bora ukampokonya tu kifaa mnyonge kwako, mambo yanaweza kusonga mbele!!