Nakusubiri uninyakueDuuh..Nadhani msg ishapokelewa
Nasubiri amalize kukusomesha nikunyakueNakusubiri uninyakue
Hahaaaa hii imetulia na ni Mpya kabisa .kumbe ndo maana watu wanakufa kiurahisi kabisa siku hizi
Ila uwe muangalifu wakati unampora mwenzio,maana wako wengi walio na mafupa yao ambao wameamua kuyavumilia, sasa ukiingia kichwakichwa unaweza kukuta unalia,na kurudi nyuma huwa ni kazi sana mkuu.Kwa uzoefu wangu wanawake wengi ambao.unamtongoza na unakuta hana mtu kabisa wengi wanakuwa na matatizo ambayo hayavumiliki!! kwa kifupi huwa unakuwa mfupa uliowashinda wenzako!!
Kama una hela ni bora ukampokonya tu kifaa mnyonge kwako, mambo yanaweza kusonga mbele!!
That triangle has lost the value these days! Wadada hata hamuachi mwanaume akasweat na ku suffer 4ur love! They easily submit themselves to any idiot! aah wakujielewa wanajielewa wale ma HP (hopeless) endeleeni kuyakanyagia tuu hadi yapate akili! Mtu anatunza sim kuliko mwili wake ! Si wehu huuuUmeongea kweli mm nilikutana na hali hiyo wiki hii nimekutana na demu town asubuhi nikaomba namba nikapewa jioni nikakutana nae akala kama 25000 tukaachana hata sijamtongoza kabla sifafika home kanipiga kibomu cha 20000 dah! Nikashangaa sana ikabidi na mm niombe mzigo ananiambia oooh ni mapema sana nikamwambia mbona ww umeniomba hela mapema oooh nina shida ndio maana nimekuomba nikampotezea kanisumbua mpaka amechoka jana kanipigia simu ananiuliza nifute namba yako nikamwambia poa tu hajapiga simu tena yaani ni shida
Umeongea kweli mm nilikutana na hali hiyo wiki hii nimekutana na demu town asubuhi nikaomba namba nikapewa jioni nikakutana nae akala kama 25000 tukaachana hata sijamtongoza kabla sifafika home kanipiga kibomu cha 20000 dah! Nikashangaa sana ikabidi na mm niombe mzigo ananiambia oooh ni mapema sana nikamwambia mbona ww umeniomba hela mapema oooh nina shida ndio maana nimekuomba nikampotezea kanisumbua mpaka amechoka jana kanipigia simu ananiuliza nifute namba yako nikamwambia poa tu hajapiga simu tena yaani ni shida
ukifanya mapinduzi na wewe utapinduliwa mkuuKwa uzoefu wangu wanawake wengi ambao.unamtongoza na unakuta hana mtu kabisa wengi wanakuwa na matatizo ambayo hayavumiliki!! kwa kifupi huwa unakuwa mfupa uliowashinda wenzako!!
Kama una hela ni bora ukampokonya tu kifaa mnyonge kwako, mambo yanaweza kusonga mbele!!
Athari za mfume dume hizo.Hapa umeangalia angle moja,mwanamke single kaachwa kwa matatizo yasiyovumilika....vipi yule alie single kwasababu kamuacha mwanaume kwasababu moja au ingine??
Samaki mmoja akioza.....Sababu za kuwa single ni nyingi sana mkuu,mapungufu yapo tu ndio maana kuna break ups na ni maamuzi ya mtu kutoka kwenye uhusiano mmoja na kuanzisha mwingine bila kujipa muda. Lakini haina maana kwamba wengi wao ndio mifupa iliyowashinda fisi big no..
Samaki mmoja akioza.....