Ni bora ufanye mapinduzi kuliko kupata mwanamke ambaye yupo single!!

Umeongea kweli mm nilikutana na hali hiyo wiki hii nimekutana na demu town asubuhi nikaomba namba nikapewa jioni nikakutana nae akala kama 25000 tukaachana hata sijamtongoza kabla sifafika home kanipiga kibomu cha 20000 dah! Nikashangaa sana ikabidi na mm niombe mzigo ananiambia oooh ni mapema sana nikamwambia mbona ww umeniomba hela mapema oooh nina shida ndio maana nimekuomba nikampotezea kanisumbua mpaka amechoka jana kanipigia simu ananiuliza nifute namba yako nikamwambia poa tu hajapiga simu tena yaani ni shida
 
mkuu hakuna namna, mi mtu akiniambia yupo single naanza kuweka maswali mengi juu yake, ila anayesema ana mtu angalau naweza kukomaa naye....

Sababu za kuwa single ni nyingi sana mkuu,mapungufu yapo tu ndio maana kuna break ups na ni maamuzi ya mtu kutoka kwenye uhusiano mmoja na kuanzisha mwingine bila kujipa muda. Lakini haina maana kwamba wengi wao ndio mifupa iliyowashinda fisi big no..
 
Sababu za kuwa single ni nyingi sana mkuu,mapungufu yapo tu ndio maana kuna break ups na ni maamuzi ya mtu kutoka kwenye uhusiano mmoja na kuanzisha mwingine bila kujipa muda. Lakini haina maana kwamba wengi wao ndio mifupa iliyowashinda fisi big no..

Haaaaah huuuuuuh umeonaaa eeeeeh
 
Umeongea kweli mm nilikutana na hali hiyo wiki hii nimekutana na demu town asubuhi nikaomba namba nikapewa jioni nikakutana nae akala kama 25000 tukaachana hata sijamtongoza kabla sifafika home kanipiga kibomu cha 20000 dah! Nikashangaa sana ikabidi na mm niombe mzigo ananiambia oooh ni mapema sana nikamwambia mbona ww umeniomba hela mapema oooh nina shida ndio maana nimekuomba nikampotezea kanisumbua mpaka amechoka jana kanipigia simu ananiuliza nifute namba yako nikamwambia poa tu hajapiga simu tena yaani ni shida

Teeeee,,,,,teeeeh poleew
 
Kwa uzoefu wangu wanawake wengi ambao.unamtongoza na unakuta hana mtu kabisa wengi wanakuwa na matatizo ambayo hayavumiliki!! kwa kifupi huwa unakuwa mfupa uliowashinda wenzako!!

Kama una hela ni bora ukampokonya tu kifaa mnyonge kwako, mambo yanaweza kusonga mbele!!

Hapa umeangalia angle moja,mwanamke single kaachwa kwa matatizo yasiyovumilika....vipi yule alie single kwasababu kamuacha mwanaume kwasababu moja au ingine??
 
Back
Top Bottom