Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
Kuna tetesi kuwa serikali iko mbioni kulifuta kabisa shirika la ndege Tanzania (ATC) kutokana na shirika hilo kutokuwa na tija kwa serikali. Habari zinapasha kuwa licha ya serikali mara kadhaa kuwekeza kiasi kikubwa cha fedha bado shirika hilo halijaonyesha dalili ya kutoka kwenye usingizi wa pono hali inayopelekea kuonekana ni gunia la misumari lisilobebeka...Hata mimi binafsi naunga mkono wazo hilo huenda tukaja kuwa na kitu kipya chenye matumaini na si ATC ya sasa.
My take:
Ilisemekana kuwa ATC itatafutiwa mbia ambaye huenda ikawa kampuni ya kichina. Nina wasiwasi kama kweli serikali kwa kufanya hivyo itakuwa imetatua tatizo. Huenda tukarudi kwenye mambo ya Net- Group solution na Tanesco. Kwa hiyo tunawashika masikio na msikie kuwa mchinaaaa kimeo!!:mad2:
My take:
Ilisemekana kuwa ATC itatafutiwa mbia ambaye huenda ikawa kampuni ya kichina. Nina wasiwasi kama kweli serikali kwa kufanya hivyo itakuwa imetatua tatizo. Huenda tukarudi kwenye mambo ya Net- Group solution na Tanesco. Kwa hiyo tunawashika masikio na msikie kuwa mchinaaaa kimeo!!:mad2: