Ni benki gani yenye huduma mbovu zaidi?

Me naona NMB na CRDB wanahuduma mbovu sijawahi ona especially ukitaka kudeposit or atm services ni very very very poor,inasikitisha sana
 
Kwa kweli benki zetu zina mapungufu makubwa.
Customer service-very very poor NMB, poor Azania, CRDB Better: Akiba, Exim
Best service -CBA angalau hawa unaona mtu anaelewa anachokiongea na anafahamu products za kampuni yake.
Sasa ndio uwe unatafuta mkopo utalia!!!!!!!!!. I wish hawa wafanyakazi wangekuwa na targets sio tu kuuza sura na kusubiri hongo toka kwa wateja.
 
1.Barclays - sijaweza fungua akaunti mpaka leo 7 months sasa - kila kitu walichotaka nimepeleka
2.EXIM - huwezi kuchukua hata hela yako mpaka wakufadhaishe na uadhirike ukasaini sehemu kama mbili au tatu(uzuri wenyewe wanakubali kwamba ni ushenzi)
CRDB - hawana haja na mteja mdogo wala hawajali...bureucracy nyingi ktk huduma zao...sababu wana wateja wa maana na wauhakika ambao wana wa maintain.siku za karibuni systems zao zinakuwa down muda mwingi nafikiri kuliko muda wowote ktk historia ya benki hii....for 8 yrs with this bank sijawahi kwenda kwenye branch yangu halafu nikaambiwa hata pale siwezi toa hela system iko down ..then nasubiri 2-4 hrs..at the same time ATM nazo brrrr....nikashindwa na kuondoka ..hii imenitokea mara mbili--hakuna maelezo ya kuridhisha niliyopata..
-Nilipoteza kadi ya ATM ,ilinichukua 4 months kupata nyingine--kuchelewa siyo tatizo..ila sikupewa sababu za msingi mpaka sasa....all in all ,nafikiri inategemea pia na rangi ya ngozi na fedha uliyonayo....
 
1.barclays - sijaweza fungua akaunti mpaka leo 7 months sasa - kila kitu walichotaka nimepeleka
2.exim - huwezi kuchukua hata hela yako mpaka wakufadhaishe na uadhirike ukasaini sehemu kama mbili au tatu(uzuri wenyewe wanakubali kwamba ni ushenzi)
crdb - hawana haja na mteja mdogo wala hawajali...bureucracy nyingi ktk huduma zao...sababu wana wateja wa maana na wauhakika ambao wana wa maintain.siku za karibuni systems zao zinakuwa down muda mwingi nafikiri kuliko muda wowote ktk historia ya benki hii....for 8 yrs with this bank sijawahi kwenda kwenye branch yangu halafu nikaambiwa hata pale siwezi toa hela system iko down ..then nasubiri 2-4 hrs..at the same time atm nazo brrrr....nikashindwa na kuondoka ..hii imenitokea mara mbili--hakuna maelezo ya kuridhisha niliyopata..
-nilipoteza kadi ya atm ,ilinichukua 4 months kupata nyingine--kuchelewa siyo tatizo..ila sikupewa sababu za msingi mpaka sasa....all in all ,nafikiri inategemea pia na rangi ya ngozi na fedha uliyonayo....

pole sana ndugu yangu
 
crdb ndio benki kimeo katika cc hawajaili wateja kabisa hasa katika tawi lao la vijana lumumba customer care ni wakali hata ukiwa na shida huwasogelei benki saaaaafiiii na yenye huduma bomba na murua ni barclays kuanzia costumer care na atm zipo bombaaaaaaaaaa ie mbayaaaaaaaaa
 
Hivi kuna mwenye account postal bank?
Mashine za kuhesabia pesa zipo makao makuu tu.
 
Hivi kuna mwenye account postal bank?
Mashine za kuhesabia pesa zipo makao makuu tu.

1.Benki ninayoipenda mimi kwanza ni CRDB kwa huduma ya Visa card,ukisafiri nje ya nchi pesa zinakufuata huko huko na unatumia kadi zao kufanyie e-purchase!.Uaminifu wako ndio muhimu zaidi kwao kwa sababu baada ya kutoa pesa hata mwezi mmoja baadae pesa yako huwa haipungui,wenyewe wanasema updade ya visa inachelewa.
Ukiweka cash si lazima uweke carbon, wao ndio wanakupa risiti ya kupokea pesa.
2.NBC nimewapenda kwa Islamic banking yao tu.
Matawi ninayoingia mimi hakuna viti vya kupumzikia.Misururu siku nyengine inakuwa urefu wa 1/4 km.Sisi wazee huwa tunapata kizunguzungu mara kwa mara.Hata ukianguka itabidi utolewe nje kabisa ukapumzike barazani.
Na kwanini ile sehemu ya foleni kila benki isiwekwe bomba juu la kufanyia mazoezi kidogo kwa kujiinua inua huku foleni ikisogea kupunguza shinikizo.
3.Ama NMB na benki ya posta nimeshindwa kufungua akaunti.Ati lazima nivue kofia na dada yangu lazima avue ushungi.Wanasema mtu akivaa vitu hivyo anaweza kuwa na alama ikajificha au anaweza kuwa ni pacha mwenzake.Nimeona wanatumia huduma ya umma kutaka kubatiza watu.Nimeachana nao.Huko kwengine kote picha zangu ni kama nilivyo na sijawahi kushutumiwa kwa wizi.
 
crdb ndio benki kimeo katika cc hawajaili wateja kabisa hasa katika tawi lao la vijana lumumba customer care ni wakali hata ukiwa na shida huwasogelei benki saaaaafiiii na yenye huduma bomba na murua ni barclays kuanzia costumer care na atm zipo bombaaaaaaaaaa ie mbayaaaaaaaaa

Nafikiri huduma za benki pia zina vary from one branch to another within the same Bank. Mimi nina akaunti yangu CRDB pale Holland House, I can tell you kuna jamaa fulani hivi wazuri sana kwenye customer care, yupo jamaa mmoja ana kama kengeza hivi he is so good in customer care and so helpful. Sijawahi gombana nao zaidi ya kuudhiwa tu na dada mmoja teller wakati nalalamika kwa nini wanani-charge kuweka pesa kwenye akaunti ya mtu mwingine na baada ya hapo haukupita muda mrefu wakafuta hizo charges.
 
TZ kuna big 3 (NMB,CRDB na NBC). Hizi bank zina wateja wengi sana huwezi ukazilinganisha na bank kama cba ambazo hazina watu, katika bank hizi tatu CRDB ndio nzuri na NMB ndiyo mbaya.NMB foleni yake sio mchezo

halafu kuna group jingine la lina bank 2 (Exim na Barclays). It is hard to choose between the two.

Mwisho ndio kuna hizo bank zingine zote nyingi hazina wateja na matawi ni kidogo. katika hizo napenda azania kwa ajili na mortage za kujenga nakununua nyumba. cba nao wazzuri
 
1.Barclays - sijaweza fungua akaunti mpaka leo 7 months sasa - kila kitu walichotaka nimepeleka
2.EXIM - huwezi kuchukua hata hela yako mpaka wakufadhaishe na uadhirike ukasaini sehemu kama mbili au tatu(uzuri wenyewe wanakubali kwamba ni ushenzi)
CRDB - hawana haja na mteja mdogo wala hawajali...bureucracy nyingi ktk huduma zao...sababu wana wateja wa maana na wauhakika ambao wana wa maintain.siku za karibuni systems zao zinakuwa down muda mwingi nafikiri kuliko muda wowote ktk historia ya benki hii....for 8 yrs with this bank sijawahi kwenda kwenye branch yangu halafu nikaambiwa hata pale siwezi toa hela system iko down ..then nasubiri 2-4 hrs..at the same time ATM nazo brrrr....nikashindwa na kuondoka ..hii imenitokea mara mbili--hakuna maelezo ya kuridhisha niliyopata..
-Nilipoteza kadi ya ATM ,ilinichukua 4 months kupata nyingine--kuchelewa siyo tatizo..ila sikupewa sababu za msingi mpaka sasa....all in all ,nafikiri inategemea pia na rangi ya ngozi na fedha uliyonayo....

Mkuu hamia BOA Bank kule mambo ni shwari, huduma first class!!! Believe me you will not regret.

Tiba
 
Benki zote mbovu. All solutions they attempt to implement, create even more serious problems.

Nyie mnaokaa ughaibuni, mnaona jinsi benki na hata maduka makubwa yanahudumia kwa kufuata namba iliyopo kwenye risiti unayopata baada ya kubonyeza mahala fulani.
Hivi hili haliwezekani hapa kwetu?
 
Mimi nimechoshwa na huduma za Exim. Walianza vyema sasa wanaboronga ATM mbovu kila siku, wanaiba hela za wateja, customer service mbovu sijawahi kuona nahisi either hawalipwi vizuri au wanalazimishwa kufanya kazi maana mpaka wanakutukana
 
EXIM is the worse bank inTanzania. Ukibahatika kupata ATM card hazifanyi kazi . Ukitaka hela counter eti ukasini mbele ya cashier au meneja akusainie sijui mamabo gani? Upuuzi mtupu. Ukitaka benki nenda nyingine mbaya lakini hii uisende nakuambia.

EXIM-Ulikwenda huko kufanya nini?
wakati mwingi unadhani hii bank ina invisible clients for money laundering au ni lazima uwe muhindi ndiyo wahudumu wake wakusikilize.
Niliwahi kuingia access bank tawi la manzese, service niliyoipata nilipata kichefuchefu. Nikaamua kwenda tawi lao kuu (pengine) pale mnazi mmoja. Nilijuta maana kichefuchefu nilichopata kiliaribu kabisa menu yangu ya siku ile, vidonda vya tumbo vikalipuka upya. Maskini Mungu anisamehe sana nikamwazia vibaya hata rais wangu.
 
Bank za ajabuajabu kuliko zote Tz ni Exim bank, NBC na bank ya posta. period...kama kuna mtu anabisha...fuatilia uone..exim bank nafikiri wanajifunza....nilishawahi kukamatika siku moja sina hela, nikaona kwenye ATM yao fulani, pale Mwenge BP, na ingine ya mlimani city ndani...wameweka kuwa wanatoa pesa kama utakuwa na card yenye mastercard au maestro...nilijaribu hadi leo hii huwa najaribu haitoi...wamepambaa lakini hamuna kitu kabisa aisee.
 
Huku niliko benki yenye huduma mbovu kuliko ni NBC mtandao wao uko very slow pia wanahudumia kwa kujuana, ile first in first served ilishakuwa zilipendwa kwao,inafuatia NMB hawa shida yao wana wateja wengi sana.
 
Back
Top Bottom