Ni ajabu na kweli

Raia Fulani

JF-Expert Member
Mar 12, 2009
10,877
2,758
Tumeongozwa na Ben kwa miaka 10! Kwa kipindi chote sijawahi sikia wala kuwaona watoto wa ben. Hata kama nimesikia ni kwa bahati mbaya. Tumesikia wa nyerere, mwinyi, jakaya. Lakini ben! Au vipi wenzangu?
 
me pia sikuwahi kusikia hata km anao basi wanajiheshimu na kujithamini sana. siyo km hiki kilawyer feki cha m/kiti wa magambaz. kinajitangaza ajabu,aaagh!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ni kweli. Kama wapo basi wanajiheshimu sana! Ama wamelelewa kimaadili sana kiasi kwamba publicity kwao si ishu
 
Ni kweli. Kama wapo basi wanajiheshimu sana! Ama wamelelewa kimaadili sana kiasi kwamba publicity kwao si ishu
wapo busy na issues zao mkuu. Hawa wengine wanategemea baba akohoe wao wapate tujisenti kodogo.
 
Tumeongozwa na Ben kwa miaka 10! Kwa kipindi chote sijawahi sikia wala kuwaona watoto wa ben. Hata kama nimesikia ni kwa bahati mbaya. Tumesikia wa nyerere, mwinyi, jakaya. Lakini ben! Au vipi wenzangu?

Hata wa-Nyerere wamekuja kuwa "public" baada ya Baba yao kug'atuka..

Mkapa anawalea watoto wake ili wajilee wenyewe na si vinginevyo - kwa hili nampa tano!

Mwinyi ilikuwa lazima kuacha mtoto wake kwenye "system" kwa sababu ya "u-Zanzibari..

Kikwete nadhani na kabila lake na tabia zake inachangia watoto wake kuwa kama walivyo..

Ijumaa Njema...
 
Niliwahi kumuona mmoja kwenye East Africa Tv, tena kafanana kweli na Ben!
 
Hata wa-Nyerere wamekuja kuwa "public" baada ya Baba yao kug'atuka..

Mkapa anawalea watoto wake ili wajilee wenyewe na si vinginevyo - kwa hili nampa tano!

Mwinyi ilikuwa lazima kuacha mtoto wake kwenye "system" kwa sababu ya "u-Zanzibari..

Kikwete nadhani na kabila lake na tabia zake inachangia watoto wake kuwa kama walivyo..

Ijumaa Njema...

hopeful umesomeka mkuu
 
Mkapa bonge la kichwa jamani ,Jamaa si mchezo yule,Upstairs ipo fit kinoma.Hana mchezo na wapumbafu fulani fulani.Hana makuu daima ila anajua watanzania hawana jema daima.Tangu akiwa waziri hadi ameondoka urais hana pupa kabisa.Hata akizuliwa jambo anajibu japo kwa hasira lakini point tupu.BRAVO BEN nakufagilia kwa sana Mkubwa wangu.Tukikutana usisahau kudai tano zako!!
 
Wapo kweli?ila kuna kipindi nliskiaga ben anaharusi ya kijana wake !!!!!!!
kweli hata mimi nilisikia kijana wake anaoa-ila zaman kidogo-sijawai ona picha za hio harusi-nazani kamera zilikuwa monitored vizuri sana
na nilisikia alikataa michango ya wale wote waliotaka kumchangangia-wakiwemo waheshimiwa wengi
 
Tumeongozwa na Ben kwa miaka 10! Kwa kipindi chote sijawahi sikia wala kuwaona watoto wa ben. Hata kama nimesikia ni kwa bahati mbaya. Tumesikia wa nyerere, mwinyi, jakaya. Lakini ben! Au vipi wenzangu?

Mi simo, hapo mmefika mbali, issue ya kuzaa au kutokuzaa ni mpango wa mungu, mshukuru mungu kwa kuwa we una watoto, you can't know why you have or you haven't. Issue za nature naomba tusizijadili, kwani unaweza ukapata watoto na wote wakalaliwa na kontena barabarani! Hayo mwachie Mungu!
 
Mi simo, hapo mmefika mbali, issue ya kuzaa au kutokuzaa ni mpango wa mungu, mshukuru mungu kwa kuwa we una watoto, you can't know why you have or you haven't. Issue za nature naomba tusizijadili, kwani unaweza ukapata watoto na wote wakalaliwa na kontena barabarani! Hayo mwachie Mungu!

hajazungumzwa mtu kwa nia mbaya ndugu. Tunamsifu tu ndugu Ben kwa misingi mizuri ya kifamilia
 
Mkapa like Nyerere couldn't wish their offsprings (and relatives as well) to become politicians, there are a lot of perils for a dedicated (kwa wananchi) politicians.
So, Mkapa's wisdom distanced his children from politics (nao hawataki kwani wana access ya pesa kuliko Fredy wa EL).
 
Back
Top Bottom