kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Hivi UPDP ni chama kinachomwakilisha nani hasa, kina madiwani wangapi, wabunge wangapi na kiko katika mikoa ipi hapa Tanzania?
Mikoani hakijulikani kabisa,kipo dar tu ni Magamba typ hana lolote,labda anafikiri atatoka kwa style hiyo?Mfa maji bwana.