J jembe12 Member Oct 18, 2012 58 7 Oct 27, 2012 #1 Habari zenu wakuu kuna mtu anataarifa juu nafasi tano za uhasibu nhif naskia wametoa hv karibuni tu
Nyanidume JF-Expert Member Oct 24, 2012 2,364 1,023 Oct 27, 2012 #2 Haya tena mliosomea mahesabu, changamkieni kazi hiyo acheni kulala, mi mwenzenu nilikimbia umande!
Nyanidume JF-Expert Member Oct 24, 2012 2,364 1,023 Oct 27, 2012 #3 Haya tena mliosomea mahesabu, changamkieni kazi hiyo acheni kulala, mi mwenzenu nilikimbia umande!
denoo49 JF-Expert Member Mar 29, 2011 6,113 6,937 Oct 27, 2012 #4 jembe12 said: Habari zenu wakuu kuna mtu anataarifa juu nafasi tano za uhasibu nhif naskia wametoa hv karibuni tu Click to expand... toa qualification, address na deadline. Maana hueleweki kama unatoa taarifa au unauliza swali.
jembe12 said: Habari zenu wakuu kuna mtu anataarifa juu nafasi tano za uhasibu nhif naskia wametoa hv karibuni tu Click to expand... toa qualification, address na deadline. Maana hueleweki kama unatoa taarifa au unauliza swali.
J jembe12 Member Oct 18, 2012 58 7 Oct 27, 2012 Thread starter #5 Mkuu mm nmeuliza hzo post nmeskia zpo kwenye magazine ss nmeweka hpa ili wale wenzetu wa media watusaidie kutupa hzo information
Mkuu mm nmeuliza hzo post nmeskia zpo kwenye magazine ss nmeweka hpa ili wale wenzetu wa media watusaidie kutupa hzo information
chuma cha reli JF-Expert Member Jul 2, 2012 2,758 2,529 Oct 28, 2012 #6 zle nafas 4 tuliitwa Wa 1000 kumbe wanawa2 wao ndo itakuwa izi waache mambo ya kise yakisengelema