NHIF chombo cha ajira za watoto wa vigogo

tatizo la watanzania hufikiri ajira hushuka kama MANA toka angani somesheni watoto kwenye shule za maana (epukeni siasa za Elimu ya BURE), mfundishe mwanao kusoma tu hakutoshi kumpatia maisha mazuri bali Bidii, Heshima na UAMINIFU. Vinginevyo mtabaki kulia lia tu hapa
Wivu kitu kibaya sana Watanzania wenzangu. Dunia hii kijana usipochakarika mtabaki kutoa povu. Huyo kijana wa "Maskini" amefanya jitihada gani katika hiyo kazi? Au mnataka "Affirmative action"? Hakuna nguvu iliyopotea bure kwa mwenye bidii
Inaonekana hii ishu imekugusa sana. Ukweli ni kuwa mtoa mada yuko sahihi. N.H.IF, BOT na mashirika ya hifadhi ya jamii wamelundkana watoto wa vigogo na ajira za kupeana bila kuzngatia vigezo. Huo ndo ukweli. Kupata kazi hata intern katika hayo mashirika ni ngumu km humjui mtu. Ukweli lazma usemwe.
 
Wivu kitu kibaya sana Watanzania wenzangu. Dunia hii kijana usipochakarika mtabaki kutoa povu. Huyo kijana wa "Maskini" amefanya jitihada gani katika hiyo kazi? Au mnataka "Affirmative action"? Hakuna nguvu iliyopotea bure kwa mwenye bidii

Mbwa wewe hujielew hata kidogo
 
Hivi hizi auditing ni kwenye fedha tu au wanatakiwa waguse sehemu zote? Hizi ajira za kindugu ni tatizo kwenye hayo mashirika ya umma unakuta mtu hajafanya interview lakini anaajiriwa kisa tu ni ndugu yake fulani Ceo amepelekewa kimemo au ni shemeji yake ceo haya mashirika watu waliyafanya kama makampuni yao binafsi Mh. RAIS angewaondoa hawa watendaji maana wengi walipigiwa debe na aliyekuwa katibu mkuu kiongozi by that time mwenye nywele nyeupe.
 
Hivi hizi auditing ni kwenye fedha tu au wanatakiwa waguse sehemu zote? Hizi ajira za kindugu ni tatizo kwenye hayo mashirika ya umma unakuta mtu hajafanya interview lakini anaajiriwa kisa tu ni ndugu yake fulani Ceo amepelekewa kimemo au ni shemeji yake ceo haya mashirika watu waliyafanya kama makampuni yao binafsi Mh. RAIS angewaondoa hawa watendaji maana wengi walipigiwa debe na aliyekuwa katibu mkuu kiongozi by that time mwenye nywele nyeupe.
hii nchi ya kiCapitalist mwenye nacho ataendelea kuwa nacho na asiyekuwa nacho ataendelea kutokua nacho,watu hawana hofu ya mungu hata kidogo masikini uyo uyo ndo anazidi kukandamizwa kwenye kodi....Ok anyway ipo siku Mungu atawahukumu waache wapeane izo ajira wakat sis watoto wa wakulima tunazid kuteseka mtaani
 
hii nchi ya kiCapitalist mwenye nacho ataendelea kuwa nacho na asiyekuwa nacho ataendelea kutokua nacho,watu hawana hofu ya mungu hata kidogo masikini uyo uyo ndo anazidi kukandamizwa kwenye kodi....Ok anyway ipo siku Mungu atawahukumu waache wapeane izo ajira wakat sis watoto wa wakulima tunazid kuteseka mtaani
Ni kweli ndg yangu. Hapa Tz kuna ajira ni za watu fulani tu. Ss makabwela ni ngumu kuzgusa. Yaan hata intern ni ngumu acha ajira zenyewe.
 
Back
Top Bottom