trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
NHC inatangaza uuzaji wa nyumba zake mpya[sina idadi]zilizoko Arusha mtaa wa Wachagga. Ukubwa ni sqm165.Master bedroom moja,vyumba vitatu vya kulala,dinning,spacious sitting room,na ina balcony nne. Ulipaji: Bei ni Milioni 175 na laki.....bila VAT.Pamoja na VAT inafika Milioni 200. Itakuwa kwa mtindo wa tenda,ambapo watatoa A/C no na humo unadeposit 10% ya bei. Kisha unatuma slip na maombi yako. Zitafunguliwa siku moja application zote. Atakayeshindwa atarudishiwa fedha zake ama akitaka ataziacha kusubiri programme nyingine kama hiyo.