Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Miaka mitano ya awali nilikuwa najifunza na kupata uzoefu wa urais, Naombeni mnipe nafasi tena ya miaka mitano 2010-5 tuweze sukuma gurudumu la maendeleo. Wenyewe mnaona foleni zimeongezeka hapa mjini maana yake magari yamekuwa mengi. Hii yote ni dalili za maisha bora kwa kila Mtanzania.
Suala la Madini tumeongeza kodi ya Mrahaba, Muungano nimshughulikia na muafaka na CUF kule visiwani umefikiwa na tupo kwenye kuunda serikali ya pamoja.
Suala la ufisadi na nyie wenyewe mnajua kuna kesi kule mahakamani, sasa serikali haiwezi ingilia kuona kama zinacheleweshwa ama ni utaratibu.
Wafanyakazi mnajua nimeongozea mishahara yenu! Suala la Mbayuwayu na Kibong'ota ulikuwa ni utani kwangu na rafiki yangu bwana Mgaya. Wafanyakazi ninahitaji kura zetu ili tupate ushindi wa Sunami.
Upande wa pili
Hapa mgonjwa ndio anapata bed-rest !!!!!!!!!
Zahanati hii ipo ndani ya nchi yetu pendwa Tanzania yenye AMANI na utajiri mkubwa wa kila kitu. Mtanzania mwenzangu, Madhara ya kuchagua Rais na Mbunge baada ya kupewa t-shirt na chumvi, Ni makubwa zaidi, usichague sura wala mtu muongo! Kataa Kataaaa
Kura yangu hapati mkwere Mwenzangu!
·
Suala la Madini tumeongeza kodi ya Mrahaba, Muungano nimshughulikia na muafaka na CUF kule visiwani umefikiwa na tupo kwenye kuunda serikali ya pamoja.
Suala la ufisadi na nyie wenyewe mnajua kuna kesi kule mahakamani, sasa serikali haiwezi ingilia kuona kama zinacheleweshwa ama ni utaratibu.
Wafanyakazi mnajua nimeongozea mishahara yenu! Suala la Mbayuwayu na Kibong'ota ulikuwa ni utani kwangu na rafiki yangu bwana Mgaya. Wafanyakazi ninahitaji kura zetu ili tupate ushindi wa Sunami.
Upande wa pili
Hapa mgonjwa ndio anapata bed-rest !!!!!!!!!
Zahanati hii ipo ndani ya nchi yetu pendwa Tanzania yenye AMANI na utajiri mkubwa wa kila kitu. Mtanzania mwenzangu, Madhara ya kuchagua Rais na Mbunge baada ya kupewa t-shirt na chumvi, Ni makubwa zaidi, usichague sura wala mtu muongo! Kataa Kataaaa
Kura yangu hapati mkwere Mwenzangu!
·