ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,275
- 5,961
Wana wa Jf naumbuka mwenzenu, nina mke na wana 3.
Umri wangu miaka 50. Ni msaidizi wa Meneja kampuni fulani.
Nimekumbwa na tatizo uwezo wangu wa kumpa wife mchapo usiku umepungua.
Nilikuwa naweza kumfikisha my wife mara 3 kwa mchapo wa usiku mzima. Lakini siku hizi nafunga goli moja tu usiku mzima.
Hamu(ashki) ninayo tatizo kasi na nguvu sina. Nisaidieni Bujibuji, Gatecrasher,Kingast na wote.
Umri wangu miaka 50. Ni msaidizi wa Meneja kampuni fulani.
Nimekumbwa na tatizo uwezo wangu wa kumpa wife mchapo usiku umepungua.
Nilikuwa naweza kumfikisha my wife mara 3 kwa mchapo wa usiku mzima. Lakini siku hizi nafunga goli moja tu usiku mzima.
Hamu(ashki) ninayo tatizo kasi na nguvu sina. Nisaidieni Bujibuji, Gatecrasher,Kingast na wote.
Last edited by a moderator: