respect wa boda
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 4,557
- 3,835
Wadau salaam,
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikitatizwa na jambo hili "NGUVU ZA KIKE" kwani imekuwa ni kawaida kusikia kuwa wanaume wengi wanaupungufu wa nguvu za kiume kiasi cha kushindwa kuwaridhisha wenzi wao. Lakini hata mara moja sijasikia wanaume wakilalamika kutoridhishwa na wapenzi wao.
Sasa maswali yangu ni mawili,
1) Je mwanamke kiasili anaweza kuumudu kupiga bao ngapi kwa mechi?
2) Je mwanaume nae kiasili anaweza kuumudu kupiga bao ngapi kwa mechi?
Nb, kina dada msaada wenu hapa unaweza kuwa muwazi kabisa kwa kutuambia angalau upige bao ngapi kwa mechi ndipo ufurahie penzi na mpenzi wako.
Iwe hivyo hata kwa akina kaka.
BACK TANGANYIKA
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikitatizwa na jambo hili "NGUVU ZA KIKE" kwani imekuwa ni kawaida kusikia kuwa wanaume wengi wanaupungufu wa nguvu za kiume kiasi cha kushindwa kuwaridhisha wenzi wao. Lakini hata mara moja sijasikia wanaume wakilalamika kutoridhishwa na wapenzi wao.
Sasa maswali yangu ni mawili,
1) Je mwanamke kiasili anaweza kuumudu kupiga bao ngapi kwa mechi?
2) Je mwanaume nae kiasili anaweza kuumudu kupiga bao ngapi kwa mechi?
Nb, kina dada msaada wenu hapa unaweza kuwa muwazi kabisa kwa kutuambia angalau upige bao ngapi kwa mechi ndipo ufurahie penzi na mpenzi wako.
Iwe hivyo hata kwa akina kaka.
BACK TANGANYIKA