Pumba Mwiko
Member
- Mar 16, 2011
- 71
- 8
Aibu ake mwenyewe hiyo.Pipoooooozzzz!!sema Poweer!!Watajibeba safari hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu. Shigongo amekutana na nguvu ya umma. Katika tamasha lake la uzalendo, ambapo alitaka kuanza kumwaga sumu juu ya harakati / maandamano za CHADEMA. Ile anaanza tu kuongea umma ukaanza kumzumia na kumtukana ikabidi atelemke jukwaani, Ameiona na kuijua "nguvu ya umma" source tbc habari ya saa nne am
hahahahahahah......nilikuwepo kwenye tukio ngoma ilianza pale mc dokii kumtaja kikwete...watu wakaonesha vidole viwili juu...shigongo alivyopanda akaharibu kabisa..ningekua mtaalam ninge upload clip za tukio zima
Jamani tuweke pembeni u-CCM na u-CHADEMA..... Eric alikuwa na vision nzuri sana....Sisi sote ni Watanzania na tuna kila sababu ya kulinda na kudumisha AMANI ya nchi yetu.....Yatakapokuja machafuko na umwagaji wa damu hayataangalia mshabiki wa CCM, CHADEMA, CUF..... Naungana nae kabisa kabisa na vision yake ya kukutanisha watanzania wote....Hasa sisi vijana ambao rahisi kushawishiwa, kudanganywa..... na kufanya mamabo hatari ...(tumeyaona MISRI, TUNISIA na sasa LIBRYA)....Kuelezana kwa ukweli mtakabali wa taifa letu!! Mungu ibariki Tanzania na watu wake...AMEN
Kama alivyosema sumaye moja ya nguzo kupata kiongozi bora ni dola,kama dola ingekuwa kuna uadilifu moja ya kazi yao ni kuhakikisha wanaogombea nafasi mbalimbali ni watu waadilifu hata ikiwa ni diwani maana kumekuwa na move za wazi na kujipendekeza kwa watawala ili in future wapate nafasi kisiasa! Hv hata obama alijipendekeza kwa bush ili apewe nafasi? Hv ukiwa na moyo na dhamira safi na ukasimama kwenye ukweli usiotia shaka huwezi kuwa kiongozi? Mbona nyerere alipata uongozi kutoka kwa wakoloni bila kuwa mnafiki kwao,mandela alikopita tunajua,hawa viongoz wa sasa hawana mazingira magumu kama yale pengine kuhitaji vichwa kama mwalimu lakini hata kusimamia ukweli tu wanashindwa lakini wanahaidi kuleta maendeleo! Kwakweli nyerere tulimhitaji kwa miaka mingine mingi maana ndie pekee aliyeweza kusimamia ukweli na tanzania kwanza sio ccm kwanza na hakuna anaeijua ccm na misingi yake kama yeye but stil alitamka CCM SI MAMA YANGU! Hawa waliodandia kwa mbele kama shigongo wanatufanya wajinga,wapuuzi na pengine majuha!Ni lini kada wa Ccm atakuwa na nyusi
Wakuu. Shigongo amekutana na nguvu ya umma. Katika tamasha lake la uzalendo, ambapo alitaka kuanza kumwaga sumu juu ya harakati / maandamano za CHADEMA. Ile anaanza tu kuongea umma ukaanza kumzumia na kumtukana ikabidi atelemke jukwaani, Ameiona na kuijua "nguvu ya umma" source tbc habari ya saa nne am
wasijaribu kugusa mambo ya CDM,kwani wananchi hawasikilizi upuuzi mwengine wataendelea kukubalika na 2015 nchi itarudi kwa wananchi wanyonge kupitia CDM