Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,648
JK akitembezwa kuangalia hoteli ya Kiromo View ya Bagamoyo baada ya kuizindua. Anayempa melezo ni Mkurugenzi Mtendaji wa hoteli hiyo, Bw. James Mujunamgoma. Kushoto ni waziri utalii na maliasili Mh. Shamsa Selengia Mwangunga, akifuatiwa na mkuu wa mkoa wa Pwani Dk Christine Ishengoma
Kuna haja gani ya kuingia gharama/cost kama hizi?