Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Ni wazi kabisa kuwa CCM ina mpasuko mkubwa, mpasuko ambao unatishia mustakabali wa uhai wake. Na si siri kwamba mpasuko huo unatokana na makada waandamizi katika CCM kuelekeza macho yao katika uchaguzi mkuu wa 2015 wa nani awe mgombea urais kupitia CCM.
Macho yote ya watanzania yanaangalia mpambano huo kwa kuwa bila shaka Chama kikuu cha upinzani nchini, CDM kwa asilimia kubwa kitamsimamisha Dr Slaa(labda itokee mipango mingine ya Mungu) ambaye ameonekana ni mtaji mkubwa sana wa chama hicho, hivyo sitegemei kama atakuwa na mpinzani katika mchakato ndani ya chama chake.
Nimeanza kuandika kitabu kinachohusu mchakato wa kuelekea ikulu kupitia CCM. Pamoja na mengine mengi, nitazungumzia agenda ya kujivua gamba. Katika hili wapo wanaosema kuwa Edward Lowassa ana nguvu kubwa sana katika vikao vya maamuzi vya chama chake, CCM. Nawaletea orodha ya wajumbe wa vikao hivyo ili mnisaidie nani na nani wapo upande wa Edward Lowassa na wepi wapo upande wa mahasimu wake kisiasa ndani ya chama chake. Naombeni michango yenu iwe ni katika kujenga na si kukatishana tamaa.
WAJUMBE WA KAMATI KUU YA CCM
1. Jakaya Mrisho KIKWETE
2. Pius MSEKWA
3. Amani Abeid Amani KARUME
4. Wilson MUKAMA
5. John CHILIGATI
6. Vuai Ali VUAI
7. Ali Mohamed SHEIN
8. Mizengo Kayanza PINDA
9. Ali Hassan MWINYI
10.Benjamin William MKAPA
11.Salmin AMOUR
12.John MALECELA
13.Nape NNAUYE
14.Mwigulu MCHEMBA
15.January MAKAMBA
16.Asha Abdallah JUMA
17.Hussein Ali MWINYI
18.Maua Abeid DAFTARI
19. Samia Suluhu HASSAN
20. Omar Yussuf MZEE
21. Makame Mnyaa MBARAWA
22. Mohammed Seif KHATIB
23. Shamsi Vuai NAHODHA
24. Abdulrahaman KINANA
25. Zakiah Hamdani MEGHJI
26. Abdallah Omar KIGODA
27. Pindi Hazara CHANA
28. Steven Masatu WASSIRA
29. Constansia BUHIE
30.William LUKUVI
WAJUMBE WA SEKRETARIAT YA CCM
Wengine wapo katika CC
NB:
(1)NISAIDIENI NIWEZE KUKAMILISHA KAZI YA KUANDIKA KITABU CHANGU KABLA YA 2015
(2)MAJINA YA WA-NEC NIMESHINDWA KUYAAWEKA KWA KUWA NI MENGI MNO, HIVYO KUHOFU KUWACHOSHA WACHANGIAJI
Macho yote ya watanzania yanaangalia mpambano huo kwa kuwa bila shaka Chama kikuu cha upinzani nchini, CDM kwa asilimia kubwa kitamsimamisha Dr Slaa(labda itokee mipango mingine ya Mungu) ambaye ameonekana ni mtaji mkubwa sana wa chama hicho, hivyo sitegemei kama atakuwa na mpinzani katika mchakato ndani ya chama chake.
Nimeanza kuandika kitabu kinachohusu mchakato wa kuelekea ikulu kupitia CCM. Pamoja na mengine mengi, nitazungumzia agenda ya kujivua gamba. Katika hili wapo wanaosema kuwa Edward Lowassa ana nguvu kubwa sana katika vikao vya maamuzi vya chama chake, CCM. Nawaletea orodha ya wajumbe wa vikao hivyo ili mnisaidie nani na nani wapo upande wa Edward Lowassa na wepi wapo upande wa mahasimu wake kisiasa ndani ya chama chake. Naombeni michango yenu iwe ni katika kujenga na si kukatishana tamaa.
WAJUMBE WA KAMATI KUU YA CCM
1. Jakaya Mrisho KIKWETE
2. Pius MSEKWA
3. Amani Abeid Amani KARUME
4. Wilson MUKAMA
5. John CHILIGATI
6. Vuai Ali VUAI
7. Ali Mohamed SHEIN
8. Mizengo Kayanza PINDA
9. Ali Hassan MWINYI
10.Benjamin William MKAPA
11.Salmin AMOUR
12.John MALECELA
13.Nape NNAUYE
14.Mwigulu MCHEMBA
15.January MAKAMBA
16.Asha Abdallah JUMA
17.Hussein Ali MWINYI
18.Maua Abeid DAFTARI
19. Samia Suluhu HASSAN
20. Omar Yussuf MZEE
21. Makame Mnyaa MBARAWA
22. Mohammed Seif KHATIB
23. Shamsi Vuai NAHODHA
24. Abdulrahaman KINANA
25. Zakiah Hamdani MEGHJI
26. Abdallah Omar KIGODA
27. Pindi Hazara CHANA
28. Steven Masatu WASSIRA
29. Constansia BUHIE
30.William LUKUVI
WAJUMBE WA SEKRETARIAT YA CCM
Wengine wapo katika CC
- Makatibu Wakuu wa Jumuiya za Wananchi (Zinazoongozwa na CCM)
- Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT)
- Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM
- Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi
NB:
(1)NISAIDIENI NIWEZE KUKAMILISHA KAZI YA KUANDIKA KITABU CHANGU KABLA YA 2015
(2)MAJINA YA WA-NEC NIMESHINDWA KUYAAWEKA KWA KUWA NI MENGI MNO, HIVYO KUHOFU KUWACHOSHA WACHANGIAJI