SILENT WHISPER
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 2,209
- 821
Mwafrika
kwanzia leo mm ni MSUKUMA....mwabhejha
Mwafrika
Umati wa kawaida kabisa huu, mbaya zaidi wengi wao sio wapiga kura!
Si kuna ratiba za wagombea. JK kesho anapaswa kuwa wapi kufuatana na ratiba yake..
Hapa ni magomeni je angefanyia hapo Furahisha si ingekuwa balaaa.
There is no more Malaria Sugu. Thanks be to God :smiling:Nakukuhakikishieni ndugu hakuna sehemu nilikuwa naogopa kama mwanza maana wana rekodi ya kuibeba CCM kama nao wapo upande wetu naomba kukopa msemo wa mhariri wa daily news wa Kumtangaza (I hereby declare) Dr Wilibroad Slaa kama Rais Mpya wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Infact JK atapata kura za kuhesabika kiganjani (a handful votes) kutoka kwa mashabiki wake wachache tu!
NB: Naona Malaria Sugu amekubali yaishe na ni jambo la kumshukuru Mungu!
Nakukuhakikishieni ndugu hakuna sehemu nilikuwa naogopa kama mwanza maana wana rekodi ya kuibeba CCM kama nao wapo upande wetu naomba kukopa msemo wa mhariri wa daily news wa Kumtangaza (I hereby declare) Dr Wilibroad Slaa kama Rais Mpya wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Infact JK atapata kura za kuhesabika kiganjani (a handful votes) kutoka kwa mashabiki wake wachache tu!
NB: Naona Malaria Sugu amekubali yaishe na ni jambo la kumshukuru Mungu!
nani aache kupiga kura.weeeee..nimeclick mpaka kwenye website ya nec jina langu lipo kwenye wapiga kura halali sasa msimamizi wa uchaguzi asinichanganye kabisa tar 31
Kibs usije ukawa kama yule msemaji wa Serikali ya Sadam Hussein, Al Sahaf (??). Majeshi ya marekani yanaingia na kutwaa Baghdad yeye anasema majeshi yetu ya Iraq yako imara kulinda mji mkuu!! Kaa benchi!
mhn naona kila siku zinavyo sogea kufikia D Day , ndivyo nami ninavyo pata usingizi mnono, card yangu ya kupigia kura ninayo masaa yote, nafikiria kushona mfuko kwenye bukta yangu isije ikanipotea. nimehakiki jina na kituo changu mambo swafi kabisaa, na mwanza mhn wamenipa raha, 31st tukapige kura bila kukosa, mapemaa na tukazilinde mpaka mwisho.