Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
mkuu mbona nafungua hakuna kitu??
habari za kuaminika nilizozipata hivi punde kutoka kwa mdau huko mwanza ni kuwa umati aliokusanya dr.slaa leo huko mwanza haujapata kutokea na imemlazimu jk kwenda mwanza tena kesho..
Naagiza vijana wanitumie picha niweke hapa
JK anaenda kuwaongezea ahadi nyingine nini watu wa Mwanza, zile alizowapa kwanza hazikutosha. Nilicheka pale Kinana alipokuwa akihojiwa kuhusu utafiti wa Synovete naye akasema ni kutokana na ahadi nzuri anazotoa mgombea wao, akaitaja ile mikoa ambayo mgombea wao hajafika bado na kuwa akifika huko na kuwapa ahadi zao kura zitazidi kuongezeka. Unajua wakati mwingine nashawishika kuwaona hawa wenzetu wametufanya mazezeta, na kwamba wakitudanganya kwa ahadi basi tunaridhika. Sasa waone joto ya jiwe, na bado watachanganyikiwa wao safari hii. Wacha waongeze ahadi mpaka zifike mbinguni, safari hii Mwanza haitakuwa Amsterdam tena itakuwa Toronto.Habari za kuaminika nilizozipata hivi punde kutoka kwa mdau huko Mwanza ni kuwa umati aliokusanya Dr.Slaa leo huko Mwanza haujapata kutokea na imemlazimu JK kwenda Mwanza tena kesho..
Naagiza vijana wanitumie picha niweke hapa
Mkuu amini nakwambia. halitasalia jiwe juu ya jiwe. so as hatasalia fisadi juu ya fisadi.JK anaenda kuwaongezea ahadi nyingine nini watu wa Mwanza, zile alizowapa kwanza hazikutosha. Nilicheka pale Kinana alipokuwa akihojiwa kuhusu utafiti wa Synovete naye akasema ni kutokana na ahadi nzuri anazotoa mgombea wao, akaitaja ile mikoa ambayo mgombea wao hajafika bado na kuwa akifika huko na kuwapa ahadi zao kura zitazidi kuongezeka. Unajua wakati mwingine nashawishika kuwaona hawa wenzetu wametufanya mazezeta, na kwamba wakitudanganya kwa ahadi basi tunaridhika. Sasa waone joto ya jiwe, na bado watachanganyikiwa wao safari hii. Wacha waongeze ahadi mpaka zifike mbinguni, safari hii Mwanza haitakuwa Amsterdam tena itakuwa Toronto.
ccm kwa ukabila ni noma. walishajipangia mikoa ya reserve ya kura na inapotokea mikoa hiyo ikatikiswa, inakuwa ngumu kweli kuiacha ipotee.yaaani mi najiandaaa kucheka kama kweli habari hizi na ataenda mwanza kesho ntacheka sana.maana najua Mwanza ndo alikoanzia kampeni baada ya kuanguka pale Jangwani..Aiseeeeee
Mwafrika
Umati wa kawaida kabisa huu, mbaya zaidi wengi wao sio wapiga kura!
Duh, hapa hata ungekuwa uwanja mpya wa taifa wa Dar es salaam yumkini usingetosha. Halafu hao ndo wamepigwa mabomu ya machozi, hawajapewa khanga wala tshirt na wala hawakuletwa na malori. Nawatamani watanzania wa kizazi hiki.
Kibs usije ukawa kama yule msemaji wa Serikali ya Sadam Hussein, Al Sahaf (??). Majeshi ya marekani yanaingia na kutwaa Baghdad yeye anasema majeshi yetu ya Iraq yako imara kulinda mji mkuu!! Kaa benchi!Umati wa kawaida kabisa huu, mbaya zaidi wengi wao sio wapiga kura!
Umati wa kawaida kabisa huu, mbaya zaidi wengi wao sio wapiga kura!
Kibs usije ukawa kama yule msemaji wa Serikali ya Sadam Hussein, Al Sahaf (??). Majeshi ya marekani yanaingia na kutwaa Baghdad yeye anasema majeshi yetu ya Iraq yako imara kulinda mji mkuu!! Kaa benchi!