Kassim Awadh
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 884
- 187
Ila akili ya polisi, Shilogile anakubali ni "gharama" imetumika kuwaleta askari hao!mmhhh Jambo moja naliona Wakuu wa Mikoa ambao ni wateule wa Rais kulinda maslahi ya chama chake na ndo wakuu wa kamati za usalama na ndo wanaotoa amri/maelekezo yote ngazi ya Mkoa nao wanatuharibia kwa kiasi kubwa sana