Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
Naona Pro-Chadema JF wameamua kujifariji na kujiliwaza...Rais kafanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya karibia mikoa yote sasa cha kuchekesha Chadema wamechukuwa jina la Mkuu wa Wilaya moja na kutanganza eti ni nguvu ya umma.
Wanajipongeza kwa zawadi ya juisi baada ya kulilia Pilau mwaka mzimaaaaa!!!!???