last king of uscoch
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 2,700
- 3,924
Huyu mkekuu ni sheeda aiseUooooooooooooongoooooooo
Nani alikuambia huyu mshekuu anakula makande kama wewe
Huyu mkekuu ni sheeda aiseUooooooooooooongoooooooo
Nani alikuambia huyu mshekuu anakula makande kama wewe
Weeee roho tamu yaani uambiwe leo jioni utakuwa mbogaha ha ha wazungu nao waoga
Labda massage tu maana ana over 90Ivi huduma za kimwili anapata wapi
Hahahah nimeipenda hii!!16.Ana Uwezo wa kupata Mimba
Mimi nafikiri number 16 Ndiyo muhimu kuliko zote,au wadau mnasemaje?
@Jimena,@Bennie,@Areta Njoeni huku muone uwezo wa Malkia!
Mume wa Queen anaitwa Prince Philip yaani kila anapokwenda na malkia lazima amuaibishe kwa maneno yake makali na maudhi.
Alimuona raisi wa Nigeria akiwa kavaa zile nguo zao akamwambia naona uko tayari kwenda kulala.
Akaulizwa na waandishi wa habari Je unategemea kwenda kutembea Urusi akasema ningependa kwenda lakini wanaharamu wameuwa nusu ya familia yangu.
Nyingine alienda Papua new Guinea wakawa wanacheza kumfurahisha Queen
akawauliza mmeacha kula watu?
duh!! uyo jamaa atakuwa na undugu na Mo11 hahahMume wa Queen anaitwa Prince Philip yaani kila anapokwenda na malkia lazima amuaibishe kwa maneno yake makali na maudhi.
Alimuona raisi wa Nigeria akiwa kavaa zile nguo zao akamwambia naona uko tayari kwenda kulala.
Akaulizwa na waandishi wa habari Je unategemea kwenda kutembea Urusi akasema ningependa kwenda lakini wanaharamu wameuwa nusu ya familia yangu.
Nyingine alienda Papua new Guinea wakawa wanacheza kumfurahisha Queen akawauliza mmeacha kula watu?
Huyo mume wake yupo hai mpaka sasa??Mume wa Queen anaitwa Prince Philip yaani kila anapokwenda na malkia lazima amuaibishe kwa maneno yake makali na maudhi.
Alimuona raisi wa Nigeria akiwa kavaa zile nguo zao akamwambia naona uko tayari kwenda kulala.
Akaulizwa na waandishi wa habari Je unategemea kwenda kutembea Urusi akasema ningependa kwenda lakini wanaharamu wameuwa nusu ya familia yangu.
Nyingine alienda Papua new Guinea wakawa wanacheza kumfurahisha Queen akawauliza mmeacha kula watu?
Kama zipi??Ivi huduma za kimwili anapata wapi
How? Fafanua wapi hayo maajabu uliyaonaNi reptilian / queen mother of freemason worlwide/
she is above 33 degrees,hivyo ana kila uwezo wa kimaajabu.
Mungu aliumba moto wa jehanamu kwa ajili ya shetani, shetani anafanya ujanja wa kupata wafuasi wa kwenda naewacha vitisho na huyo mungu wako..mungu mwenye upendo kuchoma watu wake..?
Bado yupo ana miaka 94 kama sikosei lakini anadunda bado kama MugabeHuyo mume wake yupo hai mpaka sasa??
Acha ujinga wewe eboo!Hapo ndipo ninashindwaga kuwaelewa....sijaona matendo maovu ya huyu malkia kiasi cha kum_,term kama devil daughter....mara sijui freemason matron how.
Umasikini wa akili na kipato unatumemena sana africa...sababu hata hizo dini zinazotuaminisha habari za devil vs god...ni hao hao wametetea...lakn leo hii tunajifanya wajuaji mpaka kuwaona wao ni devils na sisi ni godly.....hii ni kitu na chipu linalohitaji mtumbuaji jasiri.
Aiseeeee.....and who is your God chief....just curiuos to know..!ubwa wewe, yaani Mungu wangu unamfananisha na huyo takataka anayesubiri kuoza? eti next to God bora ungeweka god ila God? ukome kabisa usirudie tena.
Inaonesha mungu bado hajastukia huo ujanja was shetani ?!Mungu aliumba moto wa jehanamu kwa ajili ya shetani, shetani anafanya ujanja wa kupata wafuasi wa kwenda nae
Wanaoamini juu ya freemasonry, aliens, uchawi, ulozi, ushirikina ni watu wenye upeo Mdogo sana wa kufikiri sababu yote hayo hayapo.Ni reptilian / queen mother of freemason worlwide/
she is above 33 degrees,hivyo ana kila uwezo wa kimaajabu.
......@bufa / upeo wa uelewa hutofautiana....../ ishike imani yako!......./usitetereke kamweWanaoamini juu ya freemasonry, aliens, uchawi, ulozi, ushirikina ni watu wenye upeo Mdogo sana wa kufikiri sababu yote hayo hayapo.